ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,919
- 27,472
Alafu linakuja zuzu moja huko Yanga wenye akili ni wawili
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hata akiwa majeruhi kweli bado upumbavu utakuwa mkubwa sana.Kuna watu wamegeuza kuiba kama haki.Nahisi kwenye mazoezi ameonekana ni Kipa kimeo. Na kocha wa makipa amemkataa, hivyo ili isijulikane kuwa walisajili kimeo, wanataka kutudanganya kuwa alikuwa mgonjwa.
Hii nafasi ya kipa mpya, ongeeni na Singida Big stars ili Beno Kakolanya arudi, au endeleeni kuwatumia hawa waliopo hadi Manula atakapopona. Kisha Peter Banda abaki Msimbazi.
Hivi mlivyotangaziwa hili jina mkuu si mlikuja hapa povu kama lote, sio nyie mliokuwa mnasema mmepata kipa anadaka mpaka mawazo ya mpigaji, sio nyie mliokuwa mnasema mmepata kipa anadaka hadi nzi akipita golini, anadaka hadi upepo?Huwezi kuwa na jamii iliyojaa watu wa hovyo halafu eti miongoni mwao ukapata viongozi makini, Never!!
Yule kipa sio majuruhi bali usajili umegoma. Uongozi na Micky wanachofanya ni deception ili kukwepa lawama.Nafikiri lilikuwa pendekezo la kocha Robertinho, kwa maana napata shida kuwalaumu viongozi wa simba kwakuwa sidhani kama walishamuona popote, isipokuwa wanatakiwa walaumiwe kwa kuruhusu scout kuingiliwa majukumu yake, suala la vigezo vya uyo kipa kutokidhi na bado uongozi ukaruhusu asaini mkataba alafu baadae unakuja kusema ni injury ni aibu ya karne!
Ficha Utopolo wako. Kosa la mashabiki ni lipi? Kwani huyo mchezaji ni mbovu? Hata kama kapata injury, haya huyo Manula aliye na injury ni mbaya?Hivi mlivyotangaziwa hili jina mkuu si mlikuja hapa povu kama lote, sio nyie mliokuwa mnasema mmepata kipa anadaka mpaka mawazo ya mpigaji, sio nyie mliokuwa mnasema mmepata kipa anadaka hadi nzi akipita golini, anadaka hadi upepo?
Kweli makolo ni makolo tu
Sasa kwann unaulaumu uongozi wewe usiye mtopolo?Ficha Utopolo wako. Kosa la mashabiki ni lipi? Kwani huyo mchezaji ni mbovu? Hata kama kapata injury, haya huyo Manula aliye na injury ni mbaya?
Hii ndio sababu. Wameona wazuge mgonjwa kuficha uzembe wao.But mi nahisi hilo la majeraha yaweza kua ni kupoza tu mashabiki ila tatizo laweza kua TFF imegoma kumuingiza kwenye mfumo wa usajili kwa kutokukidhi vigezo.
Kipindi cha leo cha Sports Am cha azam nao wameliongelea hilo
Yule kipa sio majuruhi bali usajili umegoma. Uongozi na Micky wanachofanya ni deception ili kukwepa lawama.
Yule kipa sio mbaya na Mpaka hapo Sioni kosa la kocha. Yeye kaleta mchezaji ilikuwa ni wajibu wa viongozi kuzingatia vigezo vya usajili.
Sasa kwann unaulaumu uongozi wewe usiye mtopolo?
Usikute alikua anaenda kusajiliwa timu ya daraja la pili(championship) jamaa wakamdakia airport🤣🤣Scouting yenu si ya kuteka watu Airport?Vuneni mlichopanda🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Subiri ligi ianze tuone watekwajiUsikute alikua anaenda kusajiliwa timu ya daraja la pili(championship) jamaa wakamdakia airport🤣🤣
Wamesikia kuna timu imekula 10-0 huku, wanaanza kujamba jamba huko kambini.Nahisi kwenye mazoezi ameonekana ni Kipa kimeo. Na kocha wa makipa amemkataa, hivyo ili isijulikane kuwa walisajili kimeo, wanataka kutudanganya kuwa alikuwa mgonjwa.
Hii nafasi ya kipa mpya, ongeeni na Singida Big stars ili Beno Kakolanya arudi, au endeleeni kuwatumia hawa waliopo hadi Manula atakapopona. Kisha Peter Banda abaki Msimbazi.
Au walisikia Yanga inataka kumsajili wakamteka Airport? Tehe tehe teheeee.Dah! Simba ina wahuni wengi aisee! Kila mwaka lazima wampige mwekezaji tukio. Sasa unaenda kumsajili golikipa kutoka Brazil, halafu eti anacheza ligi daraja la 4!! Kama siyo uhuni ni nini!!
Tanzania ina walinda mlango kibao tu na wazuri wa ligi kuu! Afrika nayo imejaa walinda mlango wazuri wanaocheza mpaka kwenye timu zao za Taifa! Bado wahuni wakaenda kumleta mlinda mlango wa ligi daraja la 4 kutoka Brazil!! Tena usikute alisajiliwa kwa dau kubwa tu.
Tatizo uliwaonya kwa ID feki. Taja jina lako halisi na namba zako za simuNILIWAONYA SANA SIMBA
NILISEMA WACHEZAJI WA NJE YA AFRICA SIJWAHI KUWA NA IMANI NAO.