Kuna taarifa za kiintelejensia kuwa afisa wawili wa EPZA walikuwa na ziara nchini Malaysia lakini wakakosa Visa na kisha kujifungia majumbani kwao kuzuga kuwa wamesafiri. Taarifa za ndani zinaeleza pia kuwa maafisa hao wameandika ripoti itakayokabidhiwa kwa Mkurugenzi wao katika siku mbili...
Msitake kuharibu thread hii, niko na file toka NSSF na nimepewa tayari taarifa. Mkuu unayesemea Wizara katika thread hii kwa majina ya Salaama na Sheha, nimewaomba NSSF waingie wennyewe wajizungumzie nadhani watafika hapa leo. Lakini nikukumbushe tuko wengi tunaofanya kazi hii kwa hiyo...
Wakuu humo nilimoweka Red. Nilijua kuwa mtu wa foreign ataibuka tu kujibu kwa kuwa sikutaja kwamba fedha hizo zinatafutwa kwa harakati za kisiasa niwaachie wanasiasa wachambue maana kazi yetu sie ni whistleblwoing tu! Hata hivyo katika taarifa yangu na nashukuru kuwa umekiri kuwa ujenzi...
TANleaks imepata taarifa za wazi zenye uthibitisho kuwa mradi wa uwekezaji uliopo Nairobi uliopaswa kufadhiliwa na NSSF umesimama. Kusimama kwa mradi huo kunatokana na NSSF kukataa kutoa fedha sambamba na kile unachoweza kukiita cha juu (rushwa) kwa mmoja wa vigogo waliopo Wizara ya Mambo ya...
Mbopo, nimekusoma kwenye thread ya Membe na Website ya MOFA, huko ulijifanya kama Mwambene Assah ambaye tunakamilisha kazi zake zitakazomwagika siku si nyingi. Lakini nashangaa wapambe wa R1 ambao wanaingia hapa kama akina Uncle Toms na kisha kumtetea bila hata yeye kuwapa taarifa. Ni kweli...
Codecola, usiwe na tabu TANleaks ni asasi kubwa inayoweza kupata taarifa hadi zile unazotoa kwa kunong'oneza. Najua R1 ama wapambe wake wamo humu wanashambulia thread hii, kama ana ubavu atokeze ajibu ili niibue mengine ambayo nimeyaweka pending kwa sasa.
Mdau online nitakuja kukupa hiyo ya Lake OIL bdaye! TANleaks ina watu wanaokusanya data maeneo mengi. Kuhusu uhakika wa taarifa hizi wala sina shaka nawaachia nyie mjiulize maswali maana taarifa yangu naamini inajitosheleza na ni ya uhakika
Utangulizi:
Jana nimeweka thread ya mkutano wa wabunge kadhaa wa Kamati ya Nishati na Madini kisha ikang'olewa kwa kile kilichoelezwa kutojitosheleza. Lakini kile nilichokiandika kikaandikwa na gazeti la Nipashe Feb 24, 2011 katika muundo mwingine: Angalizo langu kwa MoD: Uwe na moyo wa subira...
Kukiwa na malalamiko kuwa uteuzi wa Jaji Mkuu Othman Chande haukuzingatia taratibu na heshima za mahakama yaani uhodari wa Jaji na seniority, huku pia kukiwa na madai kuwa uteuzi huo ulishinikizwa na kigezo cha DINI, taarifa za ndani zinaonyesha kuwa Jaji Othman wana undugu wa karibu sana na...
Serikali imetaja wamiliki wa Dowans na kisha kufafanua namna mgawo wao wa fedha utakavyokuwa. Kwa taarifa zaidi subiri magazeti ama nenda THE GUARDIAN WEBSITE
Huyo mwambieni asubiri moto wa Katiba mpya maana mafisadi wote na wanaotumia nafasi za umma kuchuma mali watakiona. Kipato chake halali kinatakiwa kufahamika kwa kuwa kasoma hapa hapa na hana biashara! Tunajua kwa kiwango kikubwa matukio ya kifisadi anayofanya yanayohusisha yeye kutumia jina la...
Kwa taarifa nilizopata ni kuwa habari hii ilichukuliwa hii ilichukuliwa humu na kisha kuchapishwa kwenye gazeti la Rai. Baada ya kuchapwa gazeti hilo limekusanywa mitaani halipo sasa na kisa ni Ridhwan kuomba msaada kwa baba yake ambaye katoa amri gazeti hilo lisisomwe leo.
Gazeti la Rai limekusanywa leo na halipatikani kabisa. Taarifa tulizonazo zinaeleza kuwa lilikuwa na habari inayoonyesha kuwa Beno Malissa na Ridhwan Kikwete wanaandaa mapinduzi ya kumng'oa Katibu wa UVCCM Martine Shigella. Taarifa za ndani kutoka Habari Cooperation zinaeleza kuwa habari hiyo...
Kudandia historia kumeifanya Tanganyika kutowashukuru na kuwaenzi watu halali walipogania uhuru wa nchi hii. Na hali hii ikaharibiwa na kuudwa kwa Tanzania ambako kukawa na lengo la kuficha historia ya Tanganyika kwa kuigeuzia jina la Tanzania Bara.
Nimemsoma Msando kwa umakini na uwazi ni huu...
Atafutwe mtu anaitwa Siriwa ndiye anajua mkakati ulianzia wapi na akina nai walihusika. Hao hapo wanaotajwa wala hawakuwepo na waliokuwepo walidandia basi ndio maana lilizama. Niko Tite kusaka LEAKS ZA TANZANIA niacheni kwanza na hivi vijimambo vidogo vidogo. Wewe uliyechukua fedha za China...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.