Kuna taarifa za kiintelejensia kuwa afisa wawili wa EPZA walikuwa na ziara nchini Malaysia lakini wakakosa Visa na kisha kujifungia majumbani kwao kuzuga kuwa wamesafiri. Taarifa za ndani zinaeleza pia kuwa maafisa hao wameandika ripoti itakayokabidhiwa kwa Mkurugenzi wao katika siku mbili zijazo. Uhakika na ukweli zaidi unabainisha kuwa gharama za chini kwa mmoja wa maafisa hao zilikuwa Dola 15,000. Tanleaks inaweza kutoa taarifa zote za ufisadi huu