hapo mwana ni kufinalize mambo n kwenda mafunzo hakuna interview za suti na tai ....msoto wa ccp vp n vyeo vya wenye digrii kwa polisi na uhamiaji wanaanzia wapi?na mshahara ukoje
hapo mwana ni kufinalize mambo n kwenda mafunzo hakuna interview za suti na tai ....msoto wa ccp vp n vyeo vya wenye digrii kwa polisi na uhamiaji wanaanzia wapi?na mshahara ukoje
nimekuwa natumia moderm ya voda vodafone k 3570 z na zantel baada ya kuona gharama ni kubwa na huawei za zantel hazichakachuliki coz hazina Imei nikaamua ni unlock moderm ya voda kwa kutumia dc unlocker V 540 bt zoezi lilifair coz siku sikupata majibu ya kuridhisha so nikaamua nirudi kuendelea...
mkwere anapata wenge now..kila sehemu pipo nyomi...mpaka kieleweke...naona sasa ataanza kutoa hotuba kila wiki c mchezo watu kila kona wanampinga na kumshangaa nani alimpigia kura?
maandamano yameanza watu ni wengi na pikipiki za kufa mtu sijui zimetoka wapi bt shughul zimesimama na watu wametoka maofisini wakipiga picha na kushangaa..na mabango ya kila aina..picha badae kidogo.sijui kama furahisha uwanja utatosha.
daladala zote jijini mwanza zimegoma leo kuanzia saa 3 asubuhi kushinikiza bei ya nauli za daladala zipande kutoka 250 to 300 kwa route fupi n 450 to 500 kwa route ndefu kutokana na bei kubwa ya mafuta ..Habari ndio hiyo ukali wa maisha unapanda kwa kasi zaidi nguvu zaidi na ari...
hatuna kitu hapa kwa ubora upi..............ombwe ...................despite nyereres shortcoming he did his best those years...bt mkwele with this 21 century...nothing to be proud of kuomba omba daily kwa watu...despite all resources n mgao unanichapa 16hours daily....wacha nifanye kazi mimi...
nina wasiwasi na source c reliable niko live na sky news na cnn...hakuna kitu kama hicho hata kwenye tetesi jamaa yupo misri bado till further habari...lets wait hotuba yake..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.