Mtembea_peku
Senior Member
- Dec 15, 2010
- 135
- 1
nimekuwa natumia moderm ya voda vodafone k 3570 z na zantel baada ya kuona gharama ni kubwa na huawei za zantel hazichakachuliki coz hazina Imei nikaamua ni unlock moderm ya voda kwa kutumia dc unlocker V 540 bt zoezi lilifair coz siku sikupata majibu ya kuridhisha so nikaamua nirudi kuendelea kutumia kama kawaida bt after inserting the moderm ile software ya voda ikawa hairespond so nika uninstall ile prog..bt nilipoweka tena moderm computer inadetect moderm bt hai install dat software kama ilivyo ada..nimeshindwa kujua tatizo ni nini au ndio nimeua moderm..je nikiiflash inaweza fanya kazi !