Polisi..

Mwana ngoja nikupe majibu sahii, CCP ni Chuo Cha Polisi, na interview ni general kama ulivyoambiwa na wana JF, tell us about urself, how do u think u as a police U can help people in community? Na ni machache tu then sehemu ya pili ni kucheck ur health i.e HIV, na magonjwa mengine ya zinaa kwa akina dada kuna kupima afya including pregnance na tatoo.
Sure CCP ni MUHIMU no way na ni 6months. Nina uthibitisho pekeyangu na niliwaambia apa nilipotoka kwene interview kama mnakumbuka.
CHUKUA CHAKO POTEA, Teheee teheee jamani te he!

Aisee nimeshukuru sana mwana...its exactly what they were told..CCP ni lazima. na hivi intakes za huko zinakuwaga miezi gani na gani..kwa sababu hawakuambiwa labda ikipita wiki kadhaa hatujakupigia ujue hujachaguliwa. Am thinking, kama intake ya ccp ni June labda, na ikafika june hajaitwa, ajue hajapita..kuliko kukaa tu bila kuwa na definite answers.
 
For sure sijajua ila chakukusaidia ungekuwa unawasiliana na wenziyo mliyofanya nao uwe unawauliza "vipi wameitwa au kuna tetesi zozote"
Vitu vingine jiongeze mwenyewe si mpaka nikutafunie na nikulishe Mwana.
Au kama unaweza wapigie uwaulize kama kuna majibu yoyote.
 
Wadau..yote tisa kumi..kaka alienda interview na amepita vyote plus afya (hopefully!)...
swali kubwa ambalo linamtatiza ni je, malipo ya polisi ni kiasi gani kwa mtu mwenye degree? maana waliuliza wakaambia ni level ya mtu wa degree..mara ooh malipo ni mazuri..wasiwasi wake aijekuwa anaingia choo cha kike! anapofanya kazi analipwa 700k ivi gross...na anataka kuandika barua ya kuacha kazi..is it really worth it? wenyewe wanakua wasiri sana lakini in as much as ndiyo ni kazi anayoipenda...wat u get also matters! isijekuwa unalipwa kama kuruta tu wa kawaida!??! afu nasikia hata ukitoka ccp huna nyota hata moja! Je wao watalipwa kivyeo ama kielimu!?? swala hili ndo pekee linatutatiza kwa xaxa...mwenye knowledge kiasi nitashukuru kama mtashade light on this.
Hahah..halafu kuna suala la kupelekwa lindo au Tarime ati..inawezekana ati? as in, yeye anaingia kama mtu wa IT (ingawa ni lazima wao kwenda ccp nasikia)..je kuna limitations za kazi atakazofanya au ndo ivo ushakula kiapo?? kesho tunaeza mkuta pale posta akiongoza magari!?? au NMB (lol!)..akipiga lindo..tena la usiku!???!
 
Kiukweli police wana fani zao kuanzia madeleva mpaka mafundi umeme na hata wazibua vyoo kikubwa ni kwamba wakikuchukua lazima upite ccp ndugu. Upo hapooo
 
Kiukweli police wana fani zao kuanzia madeleva mpaka mafundi umeme na hata wazibua vyoo kikubwa ni kwamba wakikuchukua lazima upite ccp ndugu. Upo hapooo

Hapo tumeshakubaliana...tatizo maslahi...panalpa??
 
Wadau..yote tisa kumi..kaka alienda interview na amepita vyote plus afya (hopefully!)...
swali kubwa ambalo linamtatiza ni je, malipo ya polisi ni kiasi gani kwa mtu mwenye degree? maana waliuliza wakaambia ni level ya mtu wa degree..mara ooh malipo ni mazuri..wasiwasi wake aijekuwa anaingia choo cha kike! anapofanya kazi analipwa 700k ivi gross...na anataka kuandika barua ya kuacha kazi..is it really worth it? wenyewe wanakua wasiri sana lakini in as much as ndiyo ni kazi anayoipend inategemea na hzo ndio kaz za kuanzia but am sure wanalpwa ngaz ya digr.
 
Malipo ya mtu wa degree serikalini ndo kiasi gani? koz nilidhani yanatofautiana ndo maana nikauliza specifically for Polisi. Najua ma Tutorial assistants wanapewa kitu kama 1.2 gross, madokta ni 1.1 kama sikosei...sasa na jeshi la polisi ni hivyohivyo ama!??
 
[
Niliambiwa kuna mashindano ya kukimbia, hilo sidhani kama ni tatizo kwake...UMITASHUMTA na UMISETA vilikuwa vitu vyake...!!!(oh..how I miss those good old days...)



HA HA HA HA NIMECHEKA SANA DAH
[/QUOTE]

wewe leo kazi yako kucheka..toa msaada basi pia..
 
Back
Top Bottom