Windhoek ni mji mzuri na msafi sana..watu ni wakarimu pia. Kuhusu vyakula, mostly wanaimport kutoka South Africa. Sehemu kubwa katika mlo wao ni nyama. Kama walivyotangulia kusema biashara nyingi zinamilikiwa na wazungu au coloured. Kuna social classes, first class ni wazungu wenye asili ya...
Hauko serious...kuwekeza kwenye gas kupitia TPDC? Hawa walio inflate gharama mara dufu? Embu shirikisha ubongo wako. Soma repoti ya baraza la ushauri EWURA
Dah huyu jamaa hapa round about (Lake Oil) nami kaniambia nikienda kituoni na kupata hizo stika atanirudishia buku 5 na elfu 2 za usumbufu. Huu ni mradi wa wakubwa.
Wanakera hawa balaa...nililipia DSTv kupitia huduma yao ya M Pesa. Nikaletewa notification na risit. Kwa mshangao DSTv hela hawajapata. Pamoja na kwenda kwenye ofisi zao mara likuki mpaka danadana. Gharama za kufuatilia nikaona inataka kuzidi premium amount niliolipa DSTv nikaamua kuacha. Wezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.