Wadau poleni na majukumu ya kila siku.
Kampeni hii ni maalumu kabisa ili kuweza kumwokoa Mtanzania anayeibiwa na kampuni hii ya mawasiliano inayowaibia wananchi mchana kweupe kabisa wizi wao ni huu, ukiweka salio labda 500 kabla haujajiunga wanakata kama shilingi 20 hadi 40 , unaweza kuweka pesa ili ujiunge na Kifurushi halafu pesa ipo wanakueleza haitoshi lakini pia kukuunganisha na huduma zao za kulipia kwa lazima bila hiyari yako hivyo tuwahamasishe ndugu zetu wahame hii Kampuni hawana adabu kwa wateja wao.
Kampeni hii ni maalumu kabisa ili kuweza kumwokoa Mtanzania anayeibiwa na kampuni hii ya mawasiliano inayowaibia wananchi mchana kweupe kabisa wizi wao ni huu, ukiweka salio labda 500 kabla haujajiunga wanakata kama shilingi 20 hadi 40 , unaweza kuweka pesa ili ujiunge na Kifurushi halafu pesa ipo wanakueleza haitoshi lakini pia kukuunganisha na huduma zao za kulipia kwa lazima bila hiyari yako hivyo tuwahamasishe ndugu zetu wahame hii Kampuni hawana adabu kwa wateja wao.