Mtikisiko! Serikali, CCM wahamia Dodoma. Pinda, Kagasheki watoleana uvivu

Ni bahati nzuri watanzania wamejua kuna wizi mkubwa.niko maswa mjadLa mkubwa ni escrow, vijijini wameshajua nini maana ya escrow.
 
Jana hapa Mkoani Mara kuna Bwana mdogo kafungwa miaka 30 na kuchapwa viboko 12 kwa sababu tu
alikutwa anafanya mapenzi na mpenzi wake wa siku nyingi (Mwanafunzi binti wa miaka 18), Tena wote
walikuwa wanaburudika. IWEJE HAWA MANYANG'AU WANAOSABABISHA WALIPA KODI KUFA KWA KUKOSA
MADAWA HOSPITALINI WAENDELEE KUITANA DODOMA KUJADILI WIZI WAO. Hakika hawa ndo walistahili adhabu
zaidi ya hapo juu.
 
Hizi drip sisi wengine ndio zinatupa nafuu ngoja nikapige chai yangu kwanza kwa muruwa kabisa
 
Last edited by a moderator:
Sasa imekua kelele tu , mara Werema mara Maswi, mara Mwandosya mara Bilal, sisi yote hayo hayatuhusu, kinachotuhusu ni wezi kuwajibishwa ipasavyo basi!
 
KOMBA hana uwezo wa kua ata balozi wa nyumba kumi kumi Uwezo wake wa kufikiri unaishia TUMBONI kwake na AKILI zake zimeamia TUMBONI mbona hana hoja zaidi ya kubimbisha Tumbo...KOMBA huna uwezo ata robo kwa KAHASHEKI kuanzia akili yako ya Tumbo na pesa humfikii ata km na wewe umepata makombo ya ESCROW....Jaribu kua unatumia japo ata akili yako ya darasa la sita kujenga hoja na sio kuja na mipasho...Kati ya vitu ambavyo vimeigharimu CCM hasa wakati wa KIKWETe ni kurahisisha mambo kwa kila sehemu ona unawezaje kumpa mtu mwenye akili ndogo km KOMBA kua mbunge mbona unatuhaibisha waTZ yeye Bunge kwake ni km TOT haoni tofauti kua pale ni jukwaa la intelectuals na sio sehemu ya majungu....Na amini JK licha ya kuivua IKULU na NCHI pia kaliharibu BUNGE kwa uswahili wake na itapita miaka 400000 kuja kupata RAIS kutoka mwambao wa PwAni kwani haoni aibu ata mcheza bao kumpa ubalozi
 
Inasikitisha sana kuona Serekali ya Ccm ipo kimya bila kuchukua hatua yoyote kwa wale wanaotuhumiwa badala yake wanaweka vikao vya kutafuta ni jinsi gani ya kuwanusuru Wezi wa IPTL.
 
Angekuwa mstaarabu na mwenye mapenzi ya dhati kwa CCM na serikali yake,Pinda angekuwa keshatangaza kujiuzuru mwenyewe kuepuka migawanyiko ndani ya chama,bunge,serikali na taifa.
It's not a matter of proof kwamba umehusika au hukuhusika,no,it's a matter of faith,kwamba kuna kundi kubwa la wana CCM,wabunge na wananchi hawana imani nawe tena,hakuna mjadala hapo,ni kujiuzulu tu,sijui chuo cha kigamboni kinafundisha nini siku hizi.
 
Hivi ndivyo ccm inavyokwenda kufa. Waandishi iweni makini muandike historia sahihi. Ccm bye bye!.


Kakobe alisema jamani kumbukeni.
 
Na sio kujiuzulu tuu.......wezi wafungwe tumechoka jitu linaiba afu linaachwa tu n nini hii? Mbona sisi tukiiba kuku uswahilini mnatupeleka mahakamani ila wanaoiba mahela mengi mnawaacha sasa mkiwaacha mimi kila nnapowaona mawe tu na nawashawish wa Tanzania wenzangu hukumu ya hawa jamaa iwe mikononi mwetu piga mawe hadi nchi waione chungu ama la wafungwe ndo salama yao.
 
View attachment 204583


Wauwane wafukuzane wanyongane kwa namna yeyote ile tunachokitaka ni pesa zetu ,na waliohusika wote wawekwe korokoroni na kufilisiwa chochote walicho nacho maana inaonekana wana uzoefu wa wizi na hawakuuanzia hapo katika sakata la ESCROW.
 
Kuna kitu kimoja ambacho sikielewi kabisa katika hili. Kiongozi kapatikana na hatia ya wizi. Ni kwa nini tunakimbizana huku na kule kufanya vikao ati kumlazimisha aachie madaraka? Tena tunafanya hivyo kwa gharama kubwa. Tulimteua au tulimuajiri. Hivi kwa nini tusimfukuze iwe anataka au hataki. Tena kumfukuza na kumweka chini ya ulinzi. Hawa watu mnaotufanyia mizengwe kwa kutulazimisha tuendelee kuwavumilia kwenye madaraka waliyonayo itafika wakati wananchi wataamua kuwafukuza hata iwe kwa kuwachoma moto wakiwa ofisini.
 
Hali sasa ni dhahiri si shwari tena mjini Dodoma.Pilikapilika za magari ya vigogo pamoja na ndege ndivyo vinavyotawala kwa sasa katika mabarabara na uwanja wa ndege!

Katika hali ambayo si ya kawaida, vigogo wa ngazi za juu wa CCM pamoja na serikali wameingia Dodoma kwa fujo hivi leo huku makamu wa rais dr. Mohamed Gharib Bilal akitarajiwa kutua hapa mchana wa leo tayari kuongoza kikao kutokana maelekezo aliyopewa na rais Jakaya Kikwete.

Jana waziri Prof. Mark Mwandosya aliitwa Dar kwa dharura na tayari amerudi Dodoma leo asubuhi na mapema akiongozana na vigogo wakuu wa CCM wakiwemo Kinana na Mangula.

Katika tukio jingine mbunge Hamisi Khagasheki amejikuta katika mtifuano mkubwa na wanaomuunga mkono Pinda baada ya kumtuhumu waziwazi waziri mkuu Pinda katika mitandao ya kijamii kuwa ni mwizi ambaye hakupaswa kusubiri hadi leo.

Miongoni mwa waliomjia juu Khagasheki ni John Komba huku akimdhihaki kuwa anaona gere baada ya kutoswa uwaziri!

CCM hapa Dodoma imepasuka vibaya sana kwani kuna wakati Pinda anazomewa waziwazi na wanaCCM wenzake wakiwamo wabunge hali inayoashiria kuwa sasa uwaziri mkuu wa Pinda umefikia tamati!

.................................................................................
Bado hali ni ngumu na inaelekea dr. Bilal anakuja na ujumbe kutoka kwa rais Kikwete.Pia tayari imethibitika kuwa zote hizo ni jitihada za kumnusuru Pinda ingawa Werema, Tibaijuka Muhongo, Masele na Maswi watalazimishwa kwa mara nyingine kujiuzulu leo. Hawa wote wameambiwa iwe isiwe ni lazima wang'oke kabla ripoti haijapelekwa bungeni!

They should resign to Save Their dignity And go back to whatever they Used to do sijui wanasubiria nini?
 
Back
Top Bottom