Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Nipo Tayari ku-invest katika hiliMie huja dereva wangu na kukusanya pesa za wafanyakazi woote wanaotaka stika 5000 na hurudi nayo kila mtu na ya kwake,
Ila mkuu hadi mfike mahakaman gari linatakiwa liwe limesimama/kulala polisi ambapo kila siku moja ni sh 30,000 na kama itatumia wiki basi ni 210,000 sawa na motor vehicle,we wape tu kama ni kupinga tuwatume wabunge wetu wawajibike.