Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
K
Kama watu wanaweza piga kwenye majanga - Matetemeko na Ajali, itakuwa kwa hayo magari?View attachment 1188345
Habari ya jioni wakubwa, nauliza tu maana wengine hatujui chochote,Je gharama tajwa hapo juu ni sahihi ukilinganisha na hayo mabasi yalivyo?