- Thread starter
- #21
Naomba unijibu maswali yafuatayo
1. Nani anasimamia Ujenzi wa maabara...na je ni mtumishi?
2. Nipe gharama halisi za mradi wa maji kingerikiti
3. Ununuzi wa pikipiki na solar toka Kampuni ya KICHEN kariakoo dar ulipitishwa na kikao gani?
4. Ujenzi wa jengo la ghorofa mbinga girls sec pale kigonsera uliidhinishwa na kikao gani
Jibu haya ntakuja na maswali zaidi
kumbe nyie mnachodai ni kushirikishwa ktk madili hayo. lakini hizo zote ni shughuri za maendeleo na kama zimekamilika hamna shida . Mi nilifikiri kakwapua ela kama D.E.O