Yaani Kagera haikutakiwa kuwa sehemu ya Tanzania. Ilitakiwa kuwa nchi kamili sema tu kuna sehemu tulikosea kidogo. Tulitakiwa na serikali yetu maana kila kitu tunanyanyaswa.
Kutoka kwa Machali aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya Bukoba Mjini , akafanyiwa figisu baada ya kugundua fedha za halmashauri kupigwa bila huruma. Hapa akimuasa Bi. Fatuma dhidi ya Kamnobile
============
RC FATMA MWASA ALINDWE DHIDI YA WANA KAMNOBELE🤣🤣🤣
Kagera bila ya kuwa na viongozi wabishi dhidi...
Jiulize. Mh. Byabato nguvu alizitoa wapi kwenda kuzindua Stand ambayo hata ramani na fedha hazijapatikana? Kama umemsikiliza vizuri Bi. FATUMA, MAJIZI yamejificha kwenye chama alaf wahaya wanalaumiwa bure kuwa serikali imetutupa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.