Machawa yenyewe yameoza yananuka na mauchafu kibao . Wakionyesha uso tu wamekwisha. Sifagìlii matusi kama angetumia lugha mzuri angepata support lakini wanaomtumia wamefil saba katika hili. Lakini walimlea. Mtu anatafutwa alaf anaonekana anapiga picha ya karibu na mama? Wakati fulani ashawahi...
Sometimes za uso zinatakiwa. Mtu anajua kabisa mafeki mengi yapo mitaani serikali yetu imeshindwa kuyazuia richa ya kujua wafanyabiashara waaoingiza bidhaa feki.
Sijamaliza deni kitu kishawaka moto. Nawasubiri niwarudishie dubwasha lao. Lakini ukumbuke kama havina TBS nyumba zitaungua na lawama tutawapa tanesco.
Walimu na manesi ni victims. TRA wanakosa kodi.
Hata hawa wanaotengeneza madrisha ya plastic nao hapana. Kazi za vioo na plastic watz wanaweza sana. Serikali fukuza machinga wakizungu wanaojidai wanaoa dada zetu
Wana JF.
Si kwa nia mbaya maana waturuki wametoa ajira lakini kuna haya.
Waturuki wamekuwa wakizunguka mitaani na bajaji wakikopesha vyombo mbali mbali. Msala wangu kwao ni kwamba, nani ametoa kibali cha ukaguzi wa vyombo vyao vya umeme?
Kama kuna mtu wa TBS na FCC inabidi kwa pamoja...
Kwako kichele CAG
Nimeshangazwa na kusikitishwa na pendekezo la CAG Kichere kuwa wastaafu wanauwekea mzigo mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kuendelea kupokea huduma za mfuko huo huku wakiwa hawachangii. Nimesikitika kwa sababu Kichere na genge lake wanajua tatizo linalousibu mfuko limetokea...
1. Serikali haishirikiani na viongozi wa dini kwa upande wa imani bali madhehebu ya dini (institutions) kwa upande wa huduma za jamii, sheria, compliance with secularism na kadhalika (tangibles).
2. Unazungumzia dini kama taaluma au dini kama imani?
3. Secular state haiwezi kujiingiza kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.