Nani Karuhusu Waturuki kufanya umachinga wa kukopesha vyombo vya umeme mitaani? TBS na FCC mnayajua haya?

Ona mzungu huyu naye anakoboa mahindi, kusaga na kupaki!
 

Attachments

  • Screenshot_20240403-090559_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20240403-090559_WhatsApp.jpg
    313.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240403-090544_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20240403-090544_WhatsApp.jpg
    261.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240403-090529_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20240403-090529_WhatsApp.jpg
    333.6 KB · Views: 2
Ofisini kwetu kuna Jamaa anadaiwa na Waturuki, anawakwepa huu mwaka wa 3, sa sijui wanashindwa nn kumshtaki
 
Waache wachina watawale sokoni ukitaka bidhaa original tu ndio ziingie nchini hata serikali itakosa mapato watanzania wengi hawana uwezo wakununua bidhaa original
Sio kweli. Hii presha cooker ina miezi sita tu waya na yenyewe vina hitilafu. Kampuni sijui kama FCC na TBS wanaijua. Hivi vyombo vinapita wapi?
 

Attachments

  • 20240403_091039.jpg
    20240403_091039.jpg
    3.6 MB · Views: 2
Taifa lina hamasisha umachinga unategemea nini? Ni Tanzana pekeee yake Duniani ambako Serikali inahamaisha biasjara za uchuuuzi.
Unadhani wote tunaweza kuwa "malodilofa/matajiri wenye mitaji mikubwa/wauzaji wa jumla"?Kwa mawazo yako hautaki watanzania baadhi wawe wamachinga ila wageni(waturuki na wachina)waje wawe wachuuzi!Wewe unaona bora kipi;-1.Tuwe na wachuuzi watanzania wenzetu?AU
2.Waje waturuki na wachina watusaidie uchuuzi ambao tunauweza ilhali sisi tupotupo tu na biashara kubwakubwa hatuna mtaji nazo?
 
Unahisihisi tu.Jadili hoja yake.
msingi wa hoja yake ni kwamba, pressure cooker alonunua kutoka kwa hawa jamaa imeungua kama nyanya wakati bado ana deni, ana wasiwasi na viwango vya ubora wa vifaa vyao kama vimethibitishwa na mamlaka husika 🐒

na kwa hivyo ana toa rai kwa mamlaka kuingilia kati kwenye jambo hili na zaidi sana ana toa tahadhari kwa wangwana wenzie kutokimbilia vifaa hivyo kwa ana shaka dhidi ya ubora na usalama wa vifaa vya hao waturuki kwenye nyumba na maisha ya familia 🐒

that is the gentleman point...
 
msingi wa hoja yake ni kwamba, pressure cooker alonunua kutoka kwa hawa jamaa imeungua kama nyanya wakati bado ana deni, ana wasiwasi na viwango vya ubora wa vifaa vyao kama vimethibitishwa na mamlaka husika 🐒

na kwa hivyo ana toa rai kwa mamlaka kuingilia kati kwenye jambo hili na zaidi sana ana toa tahadhari kwa wangwana wenzie kutokimbilia vifaa hivyo kwa ana shaka dhidi ya ubora na usalama wa vifaa vya hao waturuki kwenye nyumba na maisha ya familia 🐒

that is the gentleman point...
Sasa hivyo vitu viliunguaje wakati umeme hakuna?Au alivitenga kwenye moto wa kuni mafigani?Bado siamini katika hilo.Nenda mbali zaidi na ujiulize kwani hata kazi za uchuuzi tunahitaji usaidizi wa wageni toka Uturuki na Uchina?Are/you/we that much dump(s)?
 
Sasa hivyo vitu viliunguaje wakati umeme hakuna?Au alivitenga kwenye moto wa kuni mafigani?Bado siamini katika hilo.Nenda mbali zaidi na ujiulize kwani hata kazi za uchuuzi tunahitaji usaidizi wa wageni toka Uturuki na Uchina?Are/you/we that much dump(s)?
mtoa hoja amebainisha kinaga ubaga pressure cooker yake imeungua kama nyanya, sasa kama alitumia umeme wa grid ya Taifa au lile generator lake hiyo ni yeye wa kuthibitisha....

umeme wa uhakika upo na ndio maana umevimba online kama Boss fulani hivi tangu alfajiri, unarusha nondo tu aisee 🐒🐒
 
mtoa hoja amebainisha kinaga ubaga pressure cooker yake imeungua kama nyanya, sasa kama alitumia umeme wa grid ya Taifa au lile generator lake hiyo ni yeye wa kuthibitisha....

umeme wa uhakika upo na ndio maana umevimba online kama Boss fulani hivi tangu alfajiri, unarusha nondo tu aisee 🐒🐒
Natumia umeme wa jua.Kwa hiyo wewe unachekelea na kukopa masufuria ya Waturuki halafu umewakimbia unajifichaficha?
 
Back
Top Bottom