Mabaraza yaliyowekwa na hii wizara ili kutatua migogoro kwenye ardhi na sio migogoro ya kifamili kwa sehemu kubwa yamefanyika kuwa kero kwa wananchi haswa wenye uhalali wa umiliki wa ardhi kwa viongozi husika kuendekeza rushwa sanaa.(Sijui posho zao haziwatoshi)
Kumekuwa na ucheleweshaji wa...
Shalom Shalom.
Habari ya jioni. Hongereni kwa Ibada na mapumziko ya wikendi. Leo naomba kwa uchache tushirikishane juu ya Roho Mtakatifu. Kama sehemu ya Utatu mtakatifu yaani Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu.
Ikiwa wiki moja imetimia sasa tangu sherehe ya pentekoste. Kuna mambo ningependa...
kundi la vijana wakike kwa wakiume wakiwa na furaha sana, wakiimba ule wimbo pendwa wa leo ndo leo huku wakiendelea na maandalizi ya Mbuzi watatu pamoja na vyakula vingine, pamoja ya hayo wakiwa ndani ya mavazi (sio wote)ya kanzu wanasherekea ubingwa wa USM. Vigoma pia vinaandaliwa (kuanzia...
Huyu Mtumishi wa Mungu aliekuwa akihudumu zaidi katika uimbaji nyimbo za injili ...alikuwa akisikika sana siku za nyuma na nyimbo zake zilikuwa na mafundisho mengi sana sio tu kwa watu walimpokea Bwana Yesu ila na wale ambao bado hawajampokea.
NYIMBO ZAKE:
Na nyimbo nyingine nyingi...
Habari,Mashine aina hiyo hapo chini kwenye picha inahitajika,kwa yoyote anaeiuza awasiliane nami kupitia namba hii 071-667-9229 ili biashara ifanyike.Napatikana Dar es salaam.
Nadhani wengi wenu humu mnamfahamu huyu msanii wa miondoko ya Kufoka wanaita HIP HOP, alikuwa moja ya matunda ya Bongo star search..
Ni muda sasa sijamsikia na Wimbo wowote ule mpya .. Ningependa kufahamishwa kama kaachana na Muziki au la!
Niko nasikiliza Kibao chache cha NI NDOTO..
Madirector na watunzi wa hizi story katika hizi movie, Constantine (2005), The Devil's Advocate(1997), kuna siri gani nzito walitaka kufikisha katika hadhira husika, au ni ujumbe gani walitaka kuuonesha katika jamii.
Kwa wale wadau walio fanikiwa kuziona hizi movie mbili na nyingine nyingi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.