aronstephy
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 300
- 618
Huyu Mtumishi wa Mungu aliekuwa akihudumu zaidi katika uimbaji nyimbo za injili ...alikuwa akisikika sana siku za nyuma na nyimbo zake zilikuwa na mafundisho mengi sana sio tu kwa watu walimpokea Bwana Yesu ila na wale ambao bado hawajampokea.
NYIMBO ZAKE:
NYIMBO ZAKE:
Na nyimbo nyingine nyingi aliimba..Wadau wa Mziki wa injili haswa wale wa kuanzia miaka ya 2007 kurudi nyuma mtakuwa mnamkumbuka. Naomba mnijuze na muwazuje wadau juu ya huyu Mtumishi wa Bwana.Malaya wameoza
Dungwa sindano.
kila mtu ana kwao.
Ulevi ni pepo.
Dawa ya ndoa.