Nilitakag kufa Maji mikadi beach 2018. Nilikuw na demu Ila yey Alikuw Maji mafup Mim nilikuw kwny Maji ya kifuani nilikanyag shimo flan nazan nikaw nimekosa balance miguu chin haifik juu nikipand nakunyw vikombe dah sitosahau nilitulia Kam sekunde 5 nikajipa moja kwmb Nisipojisaidia mwnyew...
Kw mfano juz Kati nilipita maeneo ya kisemvule nikakut watu wat wamekaa nje ya geti la Simba logistics nikauliza kun nn nikaambiw ni maderev wanatafutea ajira kuna maroli yalikuja hapo mengi.
Tofauti tofauti. Nafaka Kam vile mahindi,Ufuta, Mpunga. Maharage, pilipili, karoti , vitunguu. Matunda na mboga mboga .
But naamini kupata Ardhi kwnza kitu Ch msingi. Ijapokuw nikipata hat 50 kw pamoj sio mbaya.
Pengine kulikuw na ka.mchez kwny zile ajira za poast. Mimi ni mmoj ya walipelek Barua lkn mule ndan ukiingia straight unaend counter kulipia Bahasha then unasepa lkn kulikuw na wadada Kam 10 au 15 hiv walikuw kwny vit pale na Bahasha zao na wao ni waombaji inaonekan. Ila Ch kushangaz WAliambiw...
Habari zenu wakuu.
Natak nifanya kilimo Biashara lakini nahitaji eneo kubwa Sana. Je, mnanishauri nianzie wapi kwa wazoefu au wenye uelewa.
Nahitaji ekari Zaidi ya 50.
Hiv we kw akili zako pale maeneo ya Ma tank makubw ndio kigambon yote duh. Kigambon ni kubwa San Yan. Acha wale waliojiban pale karb na matank fany utembee kwnza MAWENI, MJI MWEMA. VIJIBWENI, GEZA, KISARAWE 2 , MWONGOZ, DEGE, CHEKA, MBUTU, MWASONGA, KIMBIJI, KIBADA, MIKWAMBE Aisee siwez kumaliz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.