Don 2009
Member
- Jul 14, 2019
- 83
- 169
dr means dear
Ni doctor huyo?
Ni doctor huyo?
Swimming pool ina kawaida na kukukataa kivyovyot Tu. Ndio maan si vizur kuoga peke yakoAise unazamaje kwenye swimming pool?
Bado nasoma comment ila nashangaa sana mtu anakumbukaje story ambayo anasimulia kuwa ilimtokea akiwa na miaka 4 au 7...
Hivi ni kweli hii..?
Mimi hapo ndipo ninapowashangaa. Badala ya kujifunza kuogelea mnayakwepa maji! Ikitokea ajali mkatumbukia mtafanyaje? Siku hizi kuna mafuriko n.k. Nendeni mkajifunze kuogelea ili msiwe watumwa wa uoga wenu.Nilikuwa naongelea beach msasani na demu muholanzi mwenye asili ya Colombia Sasa tunaenda mbele ghafla nkatumbukia kama kwenye shimo hivi nikawa nazama najiona nakufa kbsa ,akaniokoa alafu baadaye akasema kwao wanafundishwa kuogelea wakiwa na miaka 5 ndomana akaweza kunisaidia ,wakati tukio linatokea yeye ana miaka 20 mim 15....mpaka Leo sijawai gusana na maji ya bahari
ππππππππππKila Moja anasema lake huyu mlete kwanza tumpige X rays hiyo miguu, mwingine mlete huku tumfanyie check up kichwan ile kipimo sijui wanaitaje ila ni kama 700k, mwingine anataka nikasafishwe oyaaa hospital ni nzuri Kwa muonekano tu wa nje πnlidungwa sindano afu wanarudia sehemu Moja Kila siku hata ubadilishe hospital
Nilitaka niseme hivo mkuu maana si unaona ni jinsi gani kawezesha huduma zipo saafi kabisaUnataka kumshukuru mama Kwa kilichonikuta?
Sasa mkuu dakika tatu tuu unasema ukapiga kelele hivoZile takribani dk 3 za kupambania uhai zilikuwa za moto sana .Kama ndio roho inatolewa vile mbona kazi ipo.
ππππSasa mkuu dakika tatu tuu unasema ukapiga kelele hivo
πππππππππ
Je iko kitendo kingekuwa lasted at 1hour je
Pole saana mkuu vipi? Uliendelea tena na shughuri za migodiniMgodini huko lwamgasa geita,nilikuwa shimoni nachoronga mwamba,kumbe huko juu kuna sehemu ilikuwa na ufa wa muda mrefu tu,kutokana na milipuko ya mara kwa mara hiyo sehemu ufa ukawa unazidi kutokea. siku hiyo nikapiga kaz mimi na jamaa yangu(rip mangu aka ntuzu man)ghafla udongo ukaanza kudondoka kidogo kidogo kiasi cha kutokuhofia chochote.
Machale yakanicheza nikamwambia mshkaji wangu tupande,mi nikatangulia yeye akawa ananifata kwa juu,nikaivuka ile sehemu yenye ufa kwa umbali kama wa mita 4 hivi,ile nimevuka tu nikasikia muungurumo mkubwa sana kumbe ni ile aridhi inaporomoka,ikawa imeshuka na mshkaji wangu mpaka chini kama mita 35 kutokea pale,nilipanda juu kwa kasi ya 5g huku nikiwa nimerukwa na akili kwa kile nilichokiona.
Weee mdada masai seriously miaka saba au 4 una kumbuka π€π€π€π€π€π€Mi mwenyewe nakumbuka details za tangu utotoni sana
Naombaga vingine nisahau
Yaani vingine hadi ilikua si siku gani ya juma
Nilikuwa mdogo akili za utoto la nne michezo barabaraniKujifunika na ndoo kichwani ulitarajia ninij...mpuuzi kweli wewe
Nahisi ingekua kumbembe hapo ndani...familia ingekutana na mtafaruku wa ajabuππππ
Eeeeh na wewe umeleta story yako ulivokua na miaka saba niniDude, are you for really?
Uko sahihi kbsa tunafanya sana mistakeMimi hapo ndipo ninapowashangaa. Badala ya kujifunza kuogelea mnayakwepa maji! Ikitokea ajali mkatumbukia mtafanyaje? Siku hizi kuna mafuriko n.k. Nendeni mkajifunze kuogelea ili msiwe watumwa wa uoga wenu.
Amandla...
Serious 4-7 hapana...Mimi ninakumbuka matendo mengi sana nikiwa umri huo.
Kuaminisha watu wazima wenzako hayo mambo ni ngumu sana mkuu..Mimi huwa kunavitu navikumbuka vya tangu nipo na mwaka na miezi japo najua mnaweza msiamini baadhi yenu ila nikimwambiaga bi mkubwa huwa ananishangaa sana
πππNilitaka niseme hivo mkuu maana si unaona ni jinsi gani kawezesha huduma zipo saafi kabisa
πππππππππππ
Mim Kuna tukio nikiwa na miaka 3 nakumbuka kwenye harusi moja hivi,jingine miaka 4 wakati ubalozi wa marekani unalipuliwa nilikuwa maeneo karibu kule ,na nashukuru Mungu sana kitendo Cha kuwa na kumbukumbu ya matukio na watu au kunakili vitu umenisaidia sana kufika mbali kimaisha kwani nimekuwa na majukumu mazuri yanayoiyaji watu wa kumbukumbu nzuriSerious 4-7 hapana...
Kuna mambo mengine unasema hapa pengine ulikua ujui mybe ilibidi usimuliwe na wale waliokua wanakuona