Search results

  1. H

    Malalamiko ya Madaktari Watarajali (Interns) kuhusu kufeli mitihani ya MCT

    Malalamiko ya Madaktari Watarajali (Interns) kuhusu kufeli mitihani ya Mct: Kama Mdau wa Afya, nimeisoma barua ya wazi ya madaktari tarajali (interns) ya tarehe 21 July. Nimesikializa press ya madaktari hao ya tarehe 04 August. Lakini pia nimeona taarifa kwa umma ya Wizara ya Afya ya tarehe...
  2. H

    Tetesi: Ansbert Ngurumo: Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba, wamejivua uanachama wa CCM

    Kinana, Makamba wajivua uanachama CCM Ansbert Ngurumo8th February 20200 Comments MAKATIBU wakuu wastaafu wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba, wamejivua uanachama wa chama hicho. Habari zilizoifikia SAUTI KUBWA zinasema Kinana na Makamba walijiondoa rasmi...
  3. H

    Polisi yataka Netanyahu ashitakiwe kwa madai ya ufisadi

    Polisi yataka Netanyahu ashitakiwe kwa madai ya ufisadi Polisi wa Israel wamesema wamapata ushahidi wa kutosha wa mashitaka ya rushwa na udanganyifu wa fedha kufunguliwa dhidi ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na mke wake. Inadaiwa kwamba Netanyahu na kampuni ya Bezeq telecom...
  4. H

    Kura ya kutokuwa na imani na Rais Jacob Zuma, 08/08/2017:

    AGOSTI nane, Jumanne ijayo, umma wa Afrika Kusini utakuwa ukitazama kwenye runinga ya Bunge la nchi kupitia king’amuzi cha DSTV, ama katika chaneli maalumu ya ‘SABC News’ kushudia upigwaji wa kura ya kutokuwa na imani na Rais Jacob Zuma. Chaneli hizo mbili huonyesha moja kwa moja matangazo ya...
  5. H

    NEC imekiuka kanuni za uteuzi wa viti maalum

    Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Cuf limesikitishwa na hatua ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kujidhalilisha na kujishushia hadhi kwa kushiriki katika hujuma za Dola dhidi ya CUF. Mbali na kasoro kadhaa, hata kama ingekuwa kufukuzwa Wabunge hao wa CUF kulikuwa ni halali na kumefanywa na chombo...
  6. H

    Ni marufuku kufanya siasa mpaka 2020, Waziri Mkuu afanya mkutano

    [Waziri Mkuu akiwa katika mkutano wa hadhara leo Tunduma.
  7. H

    Kura ya kutokuwa na imani ya kumuondoa Rais J Zuma kusubiri uamuzi wa Mahakama:

    Chama kikuu cha upinzani cha Democratic Alliance (DA) cha Afrika ya Kusini kiliwasilisha bungeni maombi ya kuitishwa kwa bunge la dharura ili kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais Jacob Zuma. DA waliwasilisha rasmi maombi yao mbele ya Spika Baleta Mbeke, ambapo ikapangwa kuitishwa bunge la...
  8. H

    A. Kusini waaandamana kumtaka Zuma kuondoka Madarakani:

    Vyama hasimu vya kisiasa nchini Afrika Kusini zaidi ya tisa, pamoja na civil societies vimeungana hivi leo kwenye maandamano katika mji mkuu Pretoria wakimshinikiza Rais Jacob Zuma kuondoka madarakani. Maandamano hayo kuelekea kwenye eneo la Union Buildings, yalipo makao makuu ya serikali...
  9. H

    Mamilioni mengine yaibwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa jaji Francis Mutungi

    MAMILIONI ya shilingi ndani ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa yaliyotengwa kwa ajili ya kuwajengea uwezo wanawake ndani ya vyama vya siasa nchini, hayajulikani yalipo. “Ama mamilioni hayo yamekwapuliwa au yametumika isivyopasa,” MwanaHALISI limeelezwa. Taarifa kutoka ndani ya Ofisi ya...
  10. H

    Kada wa CCM na rafiki wa Mwigulu yuko juu ya sheria?

    Tumeona mara kadhaa Jeshi la Polisi likikimbilia mbio kuwashika watu wanaotumia mitandao ya kijamii wanaotukana viongozi wa kisiasa wanaotoka kwenye chama tawala, lakini wanapotukanwa viongozi wa Upinzani huwa wanasema hawana Intelenjesia hiyo. Hivi sasa ni wiki tokea mtu mmoja anayeitwa Abdalla...
  11. H

    The Middle East’s Leading English Language Daily , laandika kesi ya Jamii Forum:

    The Middle East’s Leading English Language Daily Tanzania charges whistleblower website owner with obstructing police World Tanzania charges whistleblower website owner with obstructing police Reuters | Published — Saturday 17 December 2016 Maxence Melo Mubyazi, the founder of...
  12. H

    Audio: Lema baada ya hotuba yake kukataliwa bungeni

    Anasema hotuba yake haikuwa mbaya bali ilikuwa na busara ya kusaidia jeshi la polisi. Suala la Lugumi halikuwa kwa ajili ya kuidhalilisha serikali bali kulisafisha serikali hasa IGP na Waziri Kitwanga. Lema anazidi kueleza kuwa Waziri wa mambo ya Ndani Mh Charles Kitwanga ni rafiki yake na...
  13. H

    Rais wa Brazil aondolewa madarakani na Bunge kwa kuhusishwa na Rushwa

    Baraza la Seneti nchini Brazil limeidhinisha kura ya kumfungulia mashitaka rais Dilma Roussef ambapo sasa amemuachia madaraka makamu wake ili mchakato wa kushitakiwa uendelee. Hayo yamekuja saa chache tu baada ya baraza la seneti nchini Brazil kupiga kura 55 dhidi ya 22 jana Alhamis kumshitaki...
  14. H

    Watanzania vinara kwa kutokuwa waadilifu duniani: utafiti

    Watanzania vinara kwa kutokuwa waadilifu duniani: utafiti The British and Dutch are the most honest in the world, while people in Tanzania are the least – and it’s all down to how corrupt their politicians are Researchers came up with a ‘prevalence of rule violations’ index It measured...
Back
Top Bottom