Kamanda anaidhalilisha intelijensia yake. Wanasema sisi kama raia tunapaswa tushirikiane na polisi ktk kutoa taarifa hasa za ualifu. Kinachoonekana hapo ni sawa na uhalifu ambao unaweza hatarisha maisha ya watu na mali zao. Na lengo la mtoa habari ni kufikisha habari ili ufafanuzi upatikane...
Ccm ni freemason ya afrika imekaa kichawi kichawi tu. Yaani kuanzia baba mchawi,mama mchawi na ndugu zao... hayana tofuti na watu waliouza nafsi zao kwa shetani. Wamekosa uelekeo mijitu miovu ndio inepewa madaraka we unadhani mnyonge atasalimika??? Ila hata kama sio sisi tutakao leta mabadiliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.