Uhakika: CCM ni mradi wa kihalifu (criminal project)

Inakuaje Sasa Chama cha Siasa kinategemea Watu kutoka kwenye Genge la Kihalifu ndio wawe wagombea wa nafasi za Kisiasa!

1) Mgombea Urais Lowassa alitokea kwenye hilo genge
2) Mgombea Uspika Ole Medeye nae alitokea huko CCM
3) Mgombea Ubunge wa Africa Mashariki nae alitokea huko huko
4) Mwenyekt wa Chadema Kibaha Ndugu Sumaye katokea huko huko
5) Mwenyekt wa Chadema Ilala Ndugu Makongoro Mahanga nae katokea uhalifuni

Yaan kwa kifupi Chadema huwa wanatoa kipaumbele kwa nafasi yoyote ya Uongozi kutoka kwa Mtu alietokea CCM dhidi ya Aliowakuta Chadema!

Mbowe anaamini wahamiaji toka CCM kuliko Wazawa na wapiganaji waliokulia humo humo

Singida kule Tena tutegemee Lazaro Nyalandu atateuliwa japo kuna wengi tu Wenye sifa!
Unatutoa nje ya mada we juha. Binaadamu ana sifa ya kujua kakosea njia na akageuka kuifuata njia sahihi. Asiye na sifa Huyo ni malaika pekee.
 
Mku hili kundi sio kubwa ni dogo Sana kwa ile nguvu yetu aliyoisema Kamanda Sugu linaonekana ni kubwa. Lakini hili kundi kubwa linalibezwa na kundi dogo siku likiamua hakuna wa kuwatuliza hili ninaliamini kwa watu wameishiwa na uvumilivu
 
Inakuaje Sasa Chama cha Siasa kinategemea Watu kutoka kwenye Genge la Kihalifu ndio wawe wagombea wa nafasi za Kisiasa!

1) Mgombea Urais Lowassa alitokea kwenye hilo genge
2) Mgombea Uspika Ole Medeye nae alitokea huko CCM
3) Mgombea Ubunge wa Africa Mashariki nae alitokea huko huko
4) Mwenyekt wa Chadema Kibaha Ndugu Sumaye katokea huko huko
5) Mwenyekt wa Chadema Ilala Ndugu Makongoro Mahanga nae katokea uhalifuni

Yaan kwa kifupi Chadema huwa wanatoa kipaumbele kwa nafasi yoyote ya Uongozi kutoka kwa Mtu alietokea CCM dhidi ya Aliowakuta Chadema!

Mbowe anaamini wahamiaji toka CCM kuliko Wazawa na wapiganaji waliokulia humo humo

Singida kule Tena tutegemee Lazaro Nyalandu atateuliwa japo kuna wengi tu Wenye sifa!
Mku ss ccm ndo wenye mamlaka ya kidola Sasa haya majenge ya uhalifu kwa nini tuyaache au yana faida
 
Hata washenzi waliopita kama Hitler, Samwel Doe, Idd Amini na waliopo kama Museven, Joseph Kabila,Yohana Mvinyo walikuwa/wana mawazo kama yako. Lakini hakuna lisilo na mwisho.
Tena unakuwa mwisho wa aibu sana .
 
Usitukate stumu, tumezilipia, CCM ni mashetani ktk nguo za kijani.
Ccm ni freemason ya afrika imekaa kichawi kichawi tu. Yaani kuanzia baba mchawi,mama mchawi na ndugu zao... hayana tofuti na watu waliouza nafsi zao kwa shetani. Wamekosa uelekeo mijitu miovu ndio inepewa madaraka we unadhani mnyonge atasalimika??? Ila hata kama sio sisi tutakao leta mabadiliko ipo siku....
 
Back
Top Bottom