hili la pili ni dhahiri shari, na dhahiri shari MTOT NI MTOTO TU KWANI KITANDA HAKIZAI HARAMUMimi nauliza tu japo uliweka angalizo.
Walikuwa wamejamiiana? Pia watu wa namna hii endapo watapeana ujauzito huyo mtoto atazaliwa wa namna gani?
na nasikia mama akizaa mapacha anakuwa hawez kung'atwa na nyoka
Wanaelewana sana tazama vizuri hapo utaona wanacheka kwa nyakati tofauti!.Hapo wanaelewana kweli? Nimeipenda hii video hahahah
Yap ni kweli ndugu na hata siku moja usithubuthu kumchokoza mmojawapo utakiona kilichomtoa Kanga manyoa(Wanaushirikiano vibaya mno)!mapacha wana harufu moja
Kuwa na mapacha kuna raha yakeWanaelewana sana tazama vizuri hapo utaona wanacheka kwa nyakati tofauti!.
Napenda sana Mapacha
Pole mkuu!!!!Namshukuru Mungu kunipa uzao wa mapacha wa kiume, ingawa Dotto siko nae kimwili but kiroho yupo nami
Kumbe na ww ni pacha?mm ni Doto sisi ni wale identical twinsPole mkuu!!!!
Mimi Nina pacha wangu tumefanana mpaka sauti!