Tunaona basi jipya la timu ya Simba SC yenye bima aina ya Comprehensive iliyokatwa kwa thamani ya TZS. 4,643.87, Bima hiyo ilimekatwa kwa MO ASSURANCE COMPANY LTD.
Mamlaka husika ebu fuatilieni thamani ya hii Bima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka ninunue hiyo simu, naweza kupata kwa bei gani na iwe original na ni kwenye maduka gani mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Mwanza na Mbeya?
Sababu ya kutaja hiyo mikoa itategemea hiyo siku nataka kuinunua nitakuwa Mkoa gani.
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=174796&d=1406983122
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=174796&d=1406983122
Hizo nimezirekodi kwa kutumia simu lakini hazijakamilika, unaweza ukazisikiliza. Aliyenazo naomba anipatie.
Nadhani haya ni yale matokeo ya mwanzo
February 27, 2013 NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA Page : 581
QT 2012 RESULTS FOR : M1503 - ZUHRA ISLAMIC SEM CENTRE
0062 M HASSAN MOHAMED DALALI FAILED...
Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation
Honourable
Member picture
First Name:
John
Middle Name:
Magale
Last Name:
Shibuda
Member Type:
Constituency Member
Constituent:
Maswa Magharibi
Political Party:
CHADEMA
Office Location:
P.O.Box...
Ebu sikilizeni iki kibao pamoja na kuwa na mapungufu ya idadi ya wachezaji waliocheza kutokana na mtangazaji(mwimbaji) akiwataja ni 16.
Huu wimbo uliimbwa kwa ajili ya kuwaomba wachezaji wa Timu ya Soka ya Taifa wasijiuzulu warudi kwenye timu ya Taifa (Taifa Stars).
Hii ilikuwa ni timu ya Soka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.