Mara nyingi watalii wanaoingia Tanzania wanaimbiwa kibao cha Kenya ambacho ukweli ni kizuri. Kwa kuwa ni wimbo wa kenya basi unakuta tunatoa Kenya penye Kenya tunaweka Tanzania na inakuwa haina maana sana kwani hata ukienda kwa internet au popote records zinakuwa na "Kenya", hapa huwezi toa...
Mimi naona Tanzania mambo ya msingi kama kuendesha ATCL n.k. yametushinda lakini tunahitaji kujirudi na kufikiri! Hakuna wa kufikiri juu yetu bali sisi wenyewe.
Naja kwenu wana jamii forum nikiwaomba mtembelee blog na site kama ilivyo hapa...please follow us!!
TOURISM AND TRAVEL
Real Adventure Tanzania
Real Adventure | Tanzania Safari Adventure Company
Asanteni!
Greetings all,
Please I would appreciate for your help. Today I learnt that my email account was accessed by strange IP's. I really dont know what happened and I dont know what I should do although I have already changed the password. I am using Google Apps for my web based account!!!! How...
Haya sasa uchaguzi wakaribia!! Sijui tutegemee nini!! Maranyingi wananchi wanarubuniwa ili kuwapigia watu fulani kura na hasa kwenye kura za maoni! sijui mwaka huu itakuwaje. Siasa za namna hii zitakomeshwaje? Na viongozi wanaorubuni wananchi wanakuwa na maadili kweli katika utendaji wa kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.