Hata pkpk zenye gps zinaibiwa na hawazikamati. Kama hoja ni wizi amefeli . Kama hoja ni kujua pikipiki inatumika wapi basi watumish wote wa serikali wanaotumia vyombo vya moto vya serikali ikiwemo mawazi na hata silaha ziwekwe hzo gps.
Tatizo sio kuuza tatizo hyo ela inaingia mfuko gani? Unadhani kinana pale juu yupo kwa ajili ya chama? Hzo ndo sector zake zoefu. Apewe uwaziri wa wanyama pori na utoroshwaji. Wizara mpya
Mwanzo 1:28 inaonyesha mwanadamu anapewa kutawala asingeweza kuambiwa habari za ubaya wakati hajui mema wala mabayia alichotakiwa kufanya ni kutii kike alichoambiwa. Mungu hawezi kuingilia uamuzi wa mwanadamu ila anaweza akamshauri na kumshawishi mabaya kwake yote ni sawa
Biblia ina majibu yote ya maswali yako. Kwa swali la kwanza ratiba ya kalenda ipo. Soma biblia vyema. Yesu hakufa ila alitoa roho yake na kuirejesha tena.
katiba mpya si kwa ajili ya chama ni kwa ajili ya wananchi kama chama kina matatizo yake basi ndo wapinzani wake wachukue kama point kwenye uchaguzi. Kama ccm inaona chadema haipo vizuri basi ijipatie point kupitia huo udhaifu lakini suala la katiba mpya ibaki kuwa takwa la wananchi kwakuwa wapo...
Mbona hueleweki unataka nini! au hoja yako haswa ni nini?
Katiba mpya na utawala wa CCM au Chadema inahusiana nini? Kwenye uhai wa nchi we unaleta mambo ya vyama. katiba mpya ni zaidi ya vyama vya siasa.
hayo ni maneno tu ya mfa maji nakumbuka hata zitto kabwe alisema mi nitakuwa wa mwisho kutoka CHADEMA lakini cha ajabu yeye ndo akawa wa kwanza kutoka.
kuna point ikifika huwa mtu anakuwa anaongea asichokifikiria. hakuna apendae chama kuliko maisha yake. lakini kuna wakati ili kuonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.