maforce
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 660
- 615
bado nashangaa sana Rais Magufuli alikuwa muuaji ukimaanisha nini. Unafahamu historia ya nchi hii kweli? Unafahamu habari za Mwangosi, je unafahamu habari za Mauaji ya Kipindi cha Rais Mkapa?Rais fisadi kuliko wote waliowahi kutokea Tanzania
Mbaya zaidi alikuwa muuaji