markp
Senior Member
- Sep 26, 2013
- 181
- 299
Amefanyaje yule madam?
Ni aibu kubwa sana ! Aliwahi kuwa Mwenyekiti wa ccm Mkoa wa Iringa
Ni aibu kubwa sana ! Aliwahi kuwa Mwenyekiti wa ccm Mkoa wa Iringa
Amefanyaje yule madam?
View attachment 2188789
Wakati Chadema ikiwaletea Mbunge wa Taifa , ambaye pamoja na kujenga hoja nzito mno bungeni kwa kutetea maslahi yenu na ya nchi kwa ujumla , hakuwahi kuwadhalilisha , Kwa kipindi chote Mchungaji Msigwa alipokuwa bungeni , amekuwa heshima kubwa kwa Mkoa mzima wa Iringa , ndiye Mbunge aliyenukuliwa mara nyingi zaidi akitetea Mkoa wa Iringa , Alimbana Dr Mpango bungeni alipokuwa Waziri wa fedha kuhusu kuporomoka kwa uchumi wa Tanzania hadi ikawa Aibu ! huku Wabunge wengine wa Mkoa wa Iringa wakiishia kuhonga wananchi viberiti na Ulanzi , ambapo Deo Sanga wa Makambako akitia aibu zaidi kwa KUKATA VIUNO Katikati ya Ukumbi wa Bunge ili kumshangilia Dr Magufuli (Astaghafillullah) , Kimsingi Dr Mpango alikosa majibu ya Maswali ya Mh Peter Msigwa hadi alipopata corona na kusamehewa .
Mchungaji Msigwa na Baraza la Madiwani wa Chadema ndio wamewezesha Stendi mpya Iringa , ndio waliowezesha mambo yote mazuri mnayoyaona hapo kwenu , Iringa ilivunja rekodi ya Usafi kwa sababu ya mipango kabambe ya Msigwa na Mstahiki Kimbe .
Leo Iringa inapata Mbunge anayedhani wauza nguzo hela zao ni za kununulia wanawake kweli ! heshima ya Iringa nani atailinda ? yule kijana mwingine wa kufahamu Mikuyati na vumbi la Kongo alipoondoka bungeni tukajua haya mambo yataisha , kumbe ndio kwanza yanaibuka Upya !
Nakulilia Iringa .
Usikute na yeye muuzajiYule Mama alivyoongea nimeshangaa sana.. yaani anahalalisha biashara ya ngono.
😂😂😂Pamoja na hayo,amepata sehemu ya kutoa sumu moyoni.Utawala wa bwana yule alinyanyasika sana.Anawaza makende yawanaume tu🤣🤣🤣
Anamiliki danguro hivyo huyo ni mdau wa biashara ya ukahaba
HayaMuda umefika sasa Mbowe ampishe Msigwa.
Wewe hata kama unalipwa ni hasara kwa ccmTutashitakiwa MIGA
huyu mama ndo kaongea ujinga hv dah. Kweli ccm inatoa watu ufahamu