HAHAhaaaaaa mbowe kishatepeta kaka usijipe matumaini tena mama kamzidi ujanja wala hajatumia nguvu nyingi kama za mwanzo tulieni watu walambe asali taratiiiiibuuuMbowe kiboko yenu. Anawatime muingie kumi na nane zake. Kutulia kwake msimwone bwege. Akitoa kichwa msianze kukimbilia silaha na vitisho. Mfuate Hilo likatiba lenu lenye maviraka mpa limechoka linasema halitaki tena repea.
Ndiye maana awamu ya 5 mwendazake alikuja na katiba yake kichwani. Kumbuka