Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,106
- 144,566
Wengine jana wanesema watu wazuri hawafi, na wengine wamekuja na bango la aina hii.
Sisi wengine kazi yetu ni kuonya na kushauri ni kisha kuhesabu siku tu.
Kuna mtu alifananishwa na Mungu wakati ule bado yupo ofisini. Watu wakaonya wakapuzwa, ila leo mtu huyo hayupo na bado hamjajifunza.
Tunajua haya ni matokeo ya kutumia nguvu nyingi kuwasafisha walioshindwa ku-deliver kutokana na walivyoboronga na hali halisi ya maisha ya watu mitaani.
Hata hivyo, kuweni na kipimo mengine ni kufuru mbele za Mungu.
Viongozi wa dini natarajia mtajitokeza na kukemea mambo haya.
Toeni neno mhesabiwe na msituachie sisi tusio na sauti kuyasema haya.
Kazi kwenu
.
Sisi wengine kazi yetu ni kuonya na kushauri ni kisha kuhesabu siku tu.
Kuna mtu alifananishwa na Mungu wakati ule bado yupo ofisini. Watu wakaonya wakapuzwa, ila leo mtu huyo hayupo na bado hamjajifunza.
Tunajua haya ni matokeo ya kutumia nguvu nyingi kuwasafisha walioshindwa ku-deliver kutokana na walivyoboronga na hali halisi ya maisha ya watu mitaani.
Hata hivyo, kuweni na kipimo mengine ni kufuru mbele za Mungu.
Viongozi wa dini natarajia mtajitokeza na kukemea mambo haya.
Toeni neno mhesabiwe na msituachie sisi tusio na sauti kuyasema haya.
Kazi kwenu
.