Wanasema Hayati Magufuli Alikuwa Anakubalika sana: Kwanini basi aliiba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu 2020?

Ni wapi na ulipo ushahidi wa kuthibitisha madai ya wizi wa kura uliofanywa na magufuli ?

Unapoandika uzi kwenye jukwaa hili hasa kuwahusu viongozi hao wa kitaifa ni vema unatuwekea ushahidi na sio dhana fikirika.

Halafu unapaswa kujiuliza swali moja.

Chadema walidai kukamata begi la Kura feki walizodai ilikuwa zitumbukizwe kwenye kasha la kura!

Lakini Chadema hao hao ndio waliochoma hilo begi badala ya kulitunza na kura hizo ili ziwe kidhibiti muhimu sana baada ya uchaguzi.

Wewe uliona wapi mtu kuchoma ushahidi muhimu ambao ungeisaidia Dunia kuujua ukweli?.

Magufuli alikuwa ndani ya mioyo ya wananchi kutokana na alivyokuwa akisimamia mambo na kuhakikisha yanatendeka ipasavyo na kwa wakati.

Kama binadamu alikuwa na mapungufu yake pia.
Lakini hayakuweza kufunika yale mengi mazuri aliyokuwa ameyaasisi.

Vema mumuache alikotangulia kwenye haki ya kweli na nyinyi mliobaki hai bado.
Mngejikita kupambana na yaliyo mbele yenu kuliko kila kukicha mnapambana na mtu aliyekwisha lala milele.

Hii pia ni uthibitisho kwamba Magufuli alikuwa anakubalika na bado anawanyima usingizi mlio hai,kwa kivuli chake tu.View attachment 2240240
unataka tuweke zile video za wizi wa kura ambao hata maaskari waliiba?
Ni kwanini walizima mitandao ya kijamii waliogopa nini
 
Unaweza ukaweka ushahidi wa wizi hadharani au ni ule ule umbeya wa facebook na twitter?. Unaweza ukaenda mahakamani kufungua kesi kwa haya uliyoyaanzishia kabisa uzi au ndio kilio kilio kile kisicho na sababu za msingi?.

Samia anahangaika anatembea duniani nzima na anapata pesa zinazotekeleza miradi mbali mbali, na yeye ikifika 2025 akipata ushindi wa asilimia 85 au 90 ataambiwa kaiba kura!!.

Hizi ni akili ambazo haziwezi kumshawihi mtu makini akaziunga mkono. Kumbuka kuna maisha ya nyuma ya keyboard na kuna yale ya mtaani, ni vitu viwili tofauti.
Hivi unadhani unaongea na watoto ama? Huenda mnafikiri tumesahau ukweli wa wizi ule. Taarifa za wizi ule na mabox ya kura fake yalikamatwa na kupelekwa polisi, na polisi walikaa kimya. Kibaya zaidi polisi walikuwa sehemu ya ulinzi wa kura zile za wizi ili zifike vituoni! Ushahidi wa haya upo wazi, lakini unaenda kushitaki wapi ambapo hapakuwa sehemu ya utawala wa kihayawani wa Magufuli?

Hakuna uchaguzi uliopata kuwa na uvunjifu wa sheria kama ule. Ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Ni wapi na ulipo ushahidi wa kuthibitisha madai ya wizi wa kura uliofanywa na magufuli ?

Unapoandika uzi kwenye jukwaa hili hasa kuwahusu viongozi hao wa kitaifa ni vema unatuwekea ushahidi na sio dhana fikirika.

Halafu unapaswa kujiuliza swali moja.

Chadema walidai kukamata begi la Kura feki walizodai ilikuwa zitumbukizwe kwenye kasha la kura!

Lakini Chadema hao hao ndio waliochoma hilo begi badala ya kulitunza na kura hizo ili ziwe kidhibiti muhimu sana baada ya uchaguzi.

Wewe uliona wapi mtu kuchoma ushahidi muhimu ambao ungeisaidia Dunia kuujua ukweli?.

Magufuli alikuwa ndani ya mioyo ya wananchi kutokana na alivyokuwa akisimamia mambo na kuhakikisha yanatendeka ipasavyo na kwa wakati.

Kama binadamu alikuwa na mapungufu yake pia.
Lakini hayakuweza kufunika yale mengi mazuri aliyokuwa ameyaasisi.

Vema mumuache alikotangulia kwenye haki ya kweli na nyinyi mliobaki hai bado.
Mngejikita kupambana na yaliyo mbele yenu kuliko kila kukicha mnapambana na mtu aliyekwisha lala milele.

Hii pia ni uthibitisho kwamba Magufuli alikuwa anakubalika na bado anawanyima usingizi mlio hai,kwa kivuli chake tu.View attachment 2240240
Mpumbaff weye!Gunioooo!
 
CHADEMA mkishindwa uchaguzi mnakimbilia neno KUIBIWA KURA ila mkishinda wala hakuna neno na huisikii CCM ikilalamika kuwa mmeiba kura.

Hata mahakamani hali ni hiyohiyo; miinshindwa kesi mnasema mahakama haiko huru ila mkishinda kesi mnasema mahakama iko huru.

kuna wakati mnatakiwa kubadilika na kuachana na siasa zilizopitwa na wakati za kutegemea huruma ya wananchi. Wananchi wa sasa hawatoi kura kwa huruma kama ambavyo mlitegemea Tundu Lissu angepata kura za huruma za kushambuliwa na risasi halafu mwisho wa siku kura zote akapigiwa Magufuli kwa sababu wananchi waliona ni nafuu kuipigia kura CCM yenye sera
 
Waterezi wa legacy ya Magufuli wanasema kuwa Jiwe Alikuwa anakubalika sana na "Wanyonge" kuliko Rais Samia aliyekumbatia matajiri.

Swali; Kama alikuwa anakubalika kwa nini aliiba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vitongoji wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020?

Kama alikuwa anakubalika kwannini alifanya biashara ya kununua wabunge wa CDM na CUF akina Silinde, Gekul, Katambi, Mtulia na Mollel.

You can be foolish but you can't fool us!!
Alipoiba we kama uliyeibiwa ulichukua hatua gani? Au ulitulia tu kana NDEZI?
 
Unaweza ukaweka ushahidi wa wizi hadharani au ni ule ule umbeya wa facebook na twitter?. Unaweza ukaenda mahakamani kufungua kesi kwa haya uliyoyaanzishia kabisa uzi au ndio kilio kilio kile kisicho na sababu za msingi?.

Samia anahangaika anatembea duniani nzima na anapata pesa zinazotekeleza miradi mbali mbali, na yeye ikifika 2025 akipata ushindi wa asilimia 85 au 90 ataambiwa kaiba kura!!.

Hizi ni akili ambazo haziwezi kumshawihi mtu makini akaziunga mkono. Kumbuka kuna maisha ya nyuma ya keyboard na kuna yale ya mtaani, ni vitu viwili tofauti.
*Vyeti feki.

*Watumbuliwa kazi kwa ufisadi.

*Wazibiwa mianya ya upigaji madili.

*Wauzaji wa madawa ya kulevya.

*Wasafirisha magendo.

*Wakwepa malipo ya kodi

*Wasiompenda JPM bila sababu ya msingi.

Unadhani hao wote, wataacha kutafuta visababu uchwara kuja kumchafua mwamba JPM kuhusu legacy yake

Wahuni wasiozidi watu 300, wanaolipwa kila siku posho kwa sababu ya kuchafua legacy na kukubalika kwa Hayati JPM kwa wa-TZ hapa online kusikutishe, wa-TZ si wajinga kuamini huo upumbavu
 
Ni wapi na ulipo ushahidi wa kuthibitisha madai ya wizi wa kura uliofanywa na magufuli ?

Unapoandika uzi kwenye jukwaa hili hasa kuwahusu viongozi hao wa kitaifa ni vema unatuwekea ushahidi na sio dhana fikirika.

Halafu unapaswa kujiuliza swali moja.

Chadema walidai kukamata begi la Kura feki walizodai ilikuwa zitumbukizwe kwenye kasha la kura!

Lakini Chadema hao hao ndio waliochoma hilo begi badala ya kulitunza na kura hizo ili ziwe kidhibiti muhimu sana baada ya uchaguzi.

Wewe uliona wapi mtu kuchoma ushahidi muhimu ambao ungeisaidia Dunia kuujua ukweli?.

Magufuli alikuwa ndani ya mioyo ya wananchi kutokana na alivyokuwa akisimamia mambo na kuhakikisha yanatendeka ipasavyo na kwa wakati.

Kama binadamu alikuwa na mapungufu yake pia.
Lakini hayakuweza kufunika yale mengi mazuri aliyokuwa ameyaasisi.

Vema mumuache alikotangulia kwenye haki ya kweli na nyinyi mliobaki hai bado.
Mngejikita kupambana na yaliyo mbele yenu kuliko kila kukicha mnapambana na mtu aliyekwisha lala milele.

Hii pia ni uthibitisho kwamba Magufuli alikuwa anakubalika na bado anawanyima usingizi mlio hai,kwa kivuli chake tu.View attachment 2240240
Kila mtu anajua magufuri aliiba kura,labda ulikuwa mmojawapo wa waliomsaidia kuiba kura
 
Mbali na mapungufu yake kama binadamu, jamaa alikuwa mtu wa maamuzi... RIP JPM
Maamuzi ya kufanyaje? Ya kuua watu na kuwatia kwenye mifuko?
1647437506375.jpg
 
Unaweza ukaweka ushahidi wa wizi hadharani au ni ule ule umbeya wa facebook na twitter?. Unaweza ukaenda mahakamani kufungua kesi kwa haya uliyoyaanzishia kabisa uzi au ndio kilio kilio kile kisicho na sababu za msingi?.

Samia anahangaika anatembea duniani nzima na anapata pesa zinazotekeleza miradi mbali mbali, na yeye ikifika 2025 akipata ushindi wa asilimia 85 au 90 ataambiwa kaiba kura!!.

Hizi ni akili ambazo haziwezi kumshawihi mtu makini akaziunga mkono. Kumbuka kuna maisha ya nyuma ya keyboard na kuna yale ya mtaani, ni vitu viwili tofauti.
Aliiba kura hilo lipo wazi , kwani wasimamizi hawajui?
 
Waterezi wa legacy ya Magufuli wanasema kuwa Jiwe Alikuwa anakubalika sana na "Wanyonge" kuliko Rais Samia aliyekumbatia matajiri.

Swali; Kama alikuwa anakubalika kwa nini aliiba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vitongoji wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020?

Kama alikuwa anakubalika kwannini alifanya biashara ya kununua wabunge wa CDM na CUF akina Silinde, Gekul, Katambi, Mtulia na Mollel.

You can be foolish but you can't fool us!!
Mungu akuongezee umri mrefu mkuu Wangu.
 
unataka tuweke zile video za wizi wa kura ambao hata maaskari waliiba?
Ni kwanini walizima mitandao ya kijamii waliogopa nini
Nimeuliza swali moja!

Ilikuwaje Chadema wadai kukamata begi la kura feki na muda mfupi baadae,hao hao wanachoma kidhibiti moto.

Halafu ndio muendelee kujifariji huko vijiweni.
 
Back
Top Bottom