HISTORIA YA TUNTEMEKE SANGA MBUNGE WA ZAMANI WA MAKETE.
Tarehe 8 Desemba 1930 huko Lupaso, kijiji cha Bulongwa, Njombe, alizaliwa mtoto wa kiume mwenye afya tele. Mtoto huyo, ambaye alikuja kuweka historia ya kipekee nchini, si mwingine bali ni TUNTEMEKE MESAKA NNUNG`WA SANGA.
Wazazi wake...
huyu Mohamed Ali ni mwandishi hodari sana binafsi nimemkubali kweli amejitoa mhanga issue za madawa ya kulevya pamoja na ufisadi vinahusisha watu wakubwa ndio maana JPM ameomba watanzania wamuombee dua ,
Hivi hii huduma ya FAST TRACK katika hospital za serikali awamu hii ya 5 ,binafsi sizipende maana naona kama ni ubaguzi wa wenye nacho nawasionacho.
Ningetamani raisi JPM azipigechini wote ni sawa, wadau mnasemaje?
mtangaji wake alionesha sijui ni uzalendo au hofu kashindwa kusoma maelezo katika uchambuzi wa vichwa vya habari mmagazetini jina la bosi wake yaani SSB kuwa nae amekwepa kulipa kodi ,hii imekaaje wadau?
Mimi huwa simuelewi anayoyaongea ,mfano akieleza kuwa ccm haijawafanyia kitu wananchi basi miongon wa kuwalaumu ni yeye kwakuwa alikuwa miongoni mwao tena PM ,ndio maana kiongozi mmoja mstaafu akaamua kuwaita malofa, neno halikuwahusu wana chadema wote ,sasa nawao wameamua kujiita hivyo,
wachina wanamsemo wao kwa lugha ya kizungu ni"no research no right to speak" nakushauli kabla ujawalaumu waislam kwamba elimu hawataki tafuta vitabu then soma ujue mambo yaliyofichwa kwa makusudi mfano kitabu KANISA KATOLIKI NA SIASA ZA TANZANIA By Padri JOHN SIVALON. Au nenda google tafuta...
Bora binti wa kambo. Kuna kabinti kamemtega babayake mdogo kabisa na kuanza kutembea nae.jamaa namlaumu sana mtoto wa kaka yake wamezaliwa tumbo moja kabisa ameshindwa kujua zamana aliyopewa na kaka yake .issue ilikuwa binti alifeli kidato cha 2 akasafilishwa kuja hapa ruvuma kutafutiwa shule...
Mama mmoja na mumewe walitaka kujua kama mtoto wao anapenda sana nini kati ya uanasiasa,ufanyabiashara au upadri.. Ikawa hivi. Waliweka chini ya mlango biblia,note harari ya elfu 10 pamoja na chupa bia iliyokuwa haijafunguliwa. Mtoto wao alivyofika alivikuta vile vitu . Alifanya yafuatayo...
Watu wamavaa tu pete bila kujua maana zake kutoka kidore kidogo mpaka kidole kikubwa cha mkononi je naweza kufahamishwa maana ya kidore kimoja baada ya kingine .
Wadau ninaomba msaada wa kupajua wapi panapouzwa kemikali za kuprintia (printing) mfano MESH WIRE, PHOTO-EMUSION & INK, jijini Dar es salaam.
Kama nitajuzwa na gharama zake nitashukuru.
duh. Nimelipenda hilo la kimfwindile naweza kujua linatoka kabila gani na nini maana yake? Ila kuna baadhi ya majina siyo ya kuwapa watoto mfano UKAWA lazima mtoto awe mbishi. Au sielewi hapo akiwa haelewi kweli usilaumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.