Galamtogela
Senior Member
- Aug 25, 2013
- 102
- 27
kuna watu wanawapa watoto wao majina kutoka makabila yao au yenye uhusiano na dini zao .lakini je jina ulilopewa na wazazi/walezi wako unalipenda au ipo haja ya kubadilisha .sikusudii zile A.k.a kama wanavyojiita wenyewe.hapa ni yale majina rasimi .