Galamtogela
Senior Member
- Aug 25, 2013
- 102
- 27
mtangaji wake alionesha sijui ni uzalendo au hofu kashindwa kusoma maelezo katika uchambuzi wa vichwa vya habari mmagazetini jina la bosi wake yaani SSB kuwa nae amekwepa kulipa kodi ,hii imekaaje wadau?