Hivi kuna ubaya wowote kujua idadi ya wakristo na waislamu Tanzania?

kwaTabora, Kigoma, Tanga (baadhi ya maeneo), Pwani, Lindi na Mtwara na kwa Zanzibar yote inaweza kuwezekana labda kwa 55/45 ila kwa mikoa iliyobaki inakuwa opposite
Unahitaji kuwa kichaa kusema waislamu wako 70% ya watanzania. Yaani unamaanisha katika kila watu 10 unaonana, 7 wanakuwa waislamu. Yaani huko Mbeya, Mwanza, Arusha, Iringa, Njombe, Rukwa, Dodoma, Kagera, Mara, Ruvuma, Shinyanga, n.k. unaweza ukapata waislamu 7 katika kila watu 10? Mambo mengine inahitaji utumie ubongo tu.
 
Dah hapa ni kama sijaelewa, huu utafiti umefanywa na nani? Kwa hisani ya watu wa Marekani? Hizo ratio zimeandikwa kwa mtindo upi? Inayotangulia in % ni christian or Muslim?


Mkuu hizo ni estimation theory km ulipita shule kidogo utanielewa; kwa kifupi zanzibar waislamu ni 98% huku bara estimate ni 39%, christian ni znz 2% na bara 59% ukichukua average ya ZNZ NA BARA KWA WAISLAM UTAPATA 88% Yaani (39% +98%)/2=88% na average ya christian (2% +59%)/2= 30% Kwa haraka na km hujui takwimu unaweza kusema ni sawa kuwa ratio ya waislamu ni kubwa lkn kiuharisia siyo kweli kwani 98% ya islamic ni kutoka katika sample population ya ukubwa gani? ni ya watu 2,000,000 tu sawa na asilimia 4% ya watu milion 45. hapa ndiyo takwimu za waislamu zinawachanganya wanatafuta wastani wa % badara ya watu.
 
Ongeza na ya 4; ni vigumu kuona waislamu wanabadili lakini wakiristo ni kila leo wanasilimu

Ha, Mkuu, basi inabidi kujiuliza ni kwa nini ni vigumu sana kwa Mwislamu kubadilika kuwa Mkristo, lakini rahisi sana kwa Mkristo kubadilika kuwa Mwislamu.

Hilo ni jambo la kutafakari sana. Huenda ni suala la njia nyembamba ngumu kuiona na njia pana unajinafasi kirahisi tu.
 
Ha, Mkuu, basi inabidi kujiuliza ni kwa nini ni vigumu sana kwa Mwislamu kubadilika kuwa Mkristo, lakini rahisi sana kwa Mkristo kubadilika kuwa Mwislamu.

Hilo ni jambo la kutafakari sana. Huenda ni suala la njia nyembamba ngumu kuiona na njia pana unajinafasi kirahisi tu.

Wife alikuwa anaitwa shaida sasa esther
 
Kujua idadi ya Wakristo na Waislamu nchini Tanzania kuna ubaya kama ifuatavyo.

1. Ukweli utajulikana rasmi kua Tanzania ina Waislamu zaidi ya asilimia 70% kwa sasa.
2. Jamii za kimataifa zitagundua uongo waliokua wakiambiwa na Makanisa na Taasisi zao kua Tanzania ni Christian State.
3. Misaada kwa Makanisa itapungua kulingana na idadi yao halisi itakapo julikana.
4. Wakaristo wanaogopa Mahakama ya Kadhi kwani itawafanya Wakristo wengi kupeleka mashauri yao huko badala ya Makanisani, kama vile Uingereza.
5. Ni ukweli kua kuna idadi kubwa ya Wakirsto wanao rudi katika Uislamu kuliko Waislamu wanao Ritadi.
6. Kujulikana kwa idadi halisi ya Waislamu kutawafungua kichwa Wakristo wanaodanganywa kila siku kuhu Uislamu.

Hizo ni baadhi tu ya Sababu kwanini ni vibaya Kujua Idadi ya Waislamu na Wakristo Nchini Tanzania.

Kama ni 70% na bado wanawalalamikia 30% kwamba wanawaonea, basi hiyo asilimia sabini ni SHIDA!!
 
mkuu hizo ni estimation theory km ulipita shule kidogo utanielewa; kwa kifupi zanzibar waislamu ni 98% huku bara estimate ni 39%, christian ni znz 2% na bara 59% ukichukua average ya znz na bara kwa waislam utapata 88% yaani (39% +98%)/2=88% na average ya christian (2% +59%)/2= 30% kwa haraka na km hujui takwimu unaweza kusema ni sawa kuwa ratio ya waislamu ni kubwa lkn kiuharisia siyo kweli kwani 98% ya islamic ni kutoka katika sample population ya ukubwa gani? Ni ya watu 2,000,000 tu sawa na asilimia 4% ya watu milion 45. Hapa ndiyo takwimu za waislamu zinawachanganya wanatafuta wastani wa % badara ya watu.

hizi hesabu za kujumlisha asilimia zimeanza mtaala upi?????
 
Sasa ubwabwa wao unakuwashia nini kama sio kuwa mind mana watu hawana time utaita majina yote kabisa hata makafiri mnavosema it wont help anything that we call hatred to the highest point unafikiri umaskini wenu ndo utapungua au kulia lia mnaonewa jipangeni kuita majna yote na sa ivi eti sensa empty mind ni janga la kitaifa

Bottom line asilimia 90 ya wakristo ni mibwabwa
 
Wife alikuwa anaitwa shaida sasa esther

Shida kawa esther jina lake lenyewe linaonyesha kuwa alikuwa na shida ya ndoa ndio maana kabadili
Angalia hawa

1)mchungaji kess nw ustadh kasim

2)mchungaji ngogo...

3)mchungaji mwaipopo nw abubakar
Sasa wewe unatuletea habr za shida hapa
 
Afande wataweza? mbona hata mahakama ya kadhi inawashinda? kazi kulalamika ........ nchi hii hata wakibaki wenyewe watalalamikiana tu, tena na kulipuana. Ngoja ninyamaze wasije kujitoa mhanga hapa.....

kikwete chaguo la mungu " hii kauli ilitolewa na sheikh mkuu akisaidiwa na sheikh ponda, usiwazarau waislam kabisa kwani wanawasiliana na mungu na kutajiwa chaguo lake
 
Shida kawa esther jina lake lenyewe linaonyesha kuwa alikuwa na shida ya ndoa ndio maana kabadili
Angalia hawa

1)mchungaji kess nw ustadh kasim

2)mchungaji ngogo...

3)mchungaji mwaipopo nw abubakar
Sasa wewe unatuletea habr za shida hapa

Mtafute huyu
 

Attachments

  • 1409250812196.jpg
    1409250812196.jpg
    56.8 KB · Views: 109
Shida kawa esther jina lake lenyewe linaonyesha kuwa alikuwa na shida ya ndoa ndio maana kabadili
Angalia hawa

1)mchungaji kess nw ustadh kasim

2)mchungaji ngogo...

3)mchungaji mwaipopo nw abubakar
Sasa wewe unatuletea habr za shida hapa

Tukiwataja mtawaua, lile tabu la kigaidi linaamrisha muwaue wanaohama uislam
 
Mara nyingi suala la kujua idadi kamili ya Wakristo na Waislamu nchini limekuwa likipigwa chenga kwa namna moja au nyingine, tukiambiwa halina tija.

Mie sijajua ubaya hasa wa kujua nchini mwetu kuna wakristo wangapi, waislamu wangapi na dini nyinginezo.

Zaidi hata ningependa tuwe na takwimu kujua kuna idadi ya watu wangapi katika kila kabila, mfano Wachaga, Wahaya, Waha, Wandengereko, Wakwere, Wafipa, Wanyakyusa, Wahehe, Wasukuma nk.

Kuna ubaya gani kuwa na takwimu hizi katika taasisisi yetu ya takwimu ya Taifa?
tukishamaliza tutaanza kuhesabu waroma, wapagani, wasabato, washia, wasuni .....haya mambo hayana maana wala msaada wowote kwa mwnye akili ila kwa wapumbavu watashabikia bila kujua kuwa hata wakristo na waislamu sio wamoja ...
 
Hakuna ubaya. Ila sasa inategemea nani anataka kujua na kwa nini;

1. Kwa serikali haina maana yeyote so its meaningless na km ni meaningless basi kuna ubaya.

2: pili hakuna ubaya kwa mashekh na maaskofu kujua idadi ya waumini wao na sisi wakatoliki huwa tuna sensa ya wahumini kuanzia jumuiya, kigango, parokia, decania, jimbo mpaka kitaifa tukimalizia na dunia. Sababu kubwa nikwamba tunataka kujua maendeleo ya kanisa katoliki.

3. Kumezuka ujinga wa kutafuta takwimu za kidini kwa manufaa ya kisiasa hii ni hatari kwa mstakabali na mshikamano wa taifa. Hii tumeiona ikitumika chaguzi za 2010. Chama pendwa na tawala kimetumia uislam km njia ya kwenda ikulu huku kikilazimisha vyama vya upinzani kuwa na mlengo wa ukristu. Kwa bahati mbaya wanaofanya hivyo hawana uhakika na athari za udini wenda ata hiyo ikulu usikaemo. CHEAP POLITICS MBAYA SANA.

Akili kubwa,hongera
 
Kama ni 70% na bado wanawalalamikia 30% kwamba wanawaonea, basi hiyo asilimia sabini ni SHIDA!!

Upeo wa kuelewa mambo hua ni Shida kubwa zaidi. Hivi Wafungwa na Askari Magereza, wapi ni wengi?

Unajua unanigadhabisha, sijui nikutukane!
 
Upeo wa kuelewa mambo hua ni Shida kubwa zaidi. Hivi Wafungwa na Askari Magereza, wapi ni wengi?

Unajua unanigadhabisha, sijui nikutukane!

Usinitukane shekh wangu..punguza ghadhab tafaadhal(usije ukajilipua lol..!)
Turudi kwenye mada, huo mfano uliotoa hauendani na uhalisia maana Waislamu na Wakristo wote tuko huru kufanya lolote la kutuletea maendeleo. Na ukichukulia hata viongozi wengi ni waislamu. Ukiachilia mbali msemo usio na ukweli wa MFUMO KRISTO. Baadhi ya Waislamu wameshaamka, wanasaka elimu kwa watoto wao bila kujali kizuizi cha dini. Hakika hao ndio watakaoleta mabadiliko ya fikra katika kizazi hiki.
 
Waislamu wapo 70% ya watz lakini wana chuo kimoja cha kichovu pale morogoro kiasi hata hao wanaojifanya wanaupigania uislamu hawapeleki watoto hao hapo.wanakimbilia kwa wakatoliki SAUT,wanakimbilia TUMAINI n.k

mh .... Uongo kwani kuomba chuo kikuu unaomba chuoni moja kwa moja au wanakuchagua kupitia Tcu.
 
Back
Top Bottom