Mkuu Maada yako ni njema sana kwa Mustakabali wa Maendeleo ya Nchi yetu.., Lakini naomba kufahamu hao wanaomuunga Mkono na wanaompinga huo Mchujo umefanyikaje hadi kuja na Orodha hiyo ya hayo Majina?
Pole sana Mzee.., labda alichoka kuwa Hawala Sugu, na kila akikucheki kwenye side Mirror anaona huna dalili za kusimama, akaona ajioengeze..,
By then kama unamuhitaji arudi kwako fuata taratibu za Kumrasimisha ili awe Mke kihalali nakuahidi atarudi na heshima itakuwepo ya kutosha!!!
Je, uliibiwa katika Mazingira gani Mkuu? Yani uliibiwa Bus likiwa Kituoni Mbezi/Shekilango ama mkiwa safarini ie sehemu ya Kula ama wakati abiria wanashuka Vituoni?
Jambo jema sana.., tunaomba akirudi Ofisini aondoe zile Nyuzi za Wazee wa Kubet na Wanywa Pombe mana ni Ving'ang'anizi kwenye top ten ya Wachangiaji wengi...!!!
Ahsante kwa Taarifa Zumbe, lakini ungeongeza nyama kidogo kwenye Tangazo lako, mfano umesema lipo Wilaya ya Handeni, Je, Mji au Vijijini? Lipo karibu na Kijiji gani kikubwa au maarufu? Kutoka kwenye barabara kubwa mathalani Mkata hadi huko lilipo ni umbali kiasi gani? Weka na bei kwa Ekari au...
Mkuu kwanza hongera kwa kuamua kupambana na kukataa kulelewa kwa namna yoyote ile..,
Aidha, kwa kuwa umeamua kufanya kazi yoyote, basi swala la Elimu liwe ni Sifa ya ziada ili uwape Wadau wigo mpana kwa kuzingatia kuwa "connection" moja huzaa nyingine..,
Nikutakie kila lakheiri katika...
Wengi wameingizwa Mkenge kwenye Biashara na wale Motivation Speakers..,
Yani ile unakuja kutahamaki bidhaa Dukani zimeisha, inabaki Leseni ya Biashara inakuangalia tu!!!
Kinachobaki ni kufunga na kuja night kutoa Mabango yenye Jina lako...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.