Ni kwanini umelabel kichwa cha habari kama Tetesi?Habari zenu mabibi na mabwana,naombeni kuuliza usafiri wa moshi kutokea dar ni basi lipi zuri na kujua nauli zao ni kiasi gani lile la hali kati ama ambalo linaenda na unafuu wa tozo,Basi linaloanzia Shekilango ama mbezi napo nijue,
Mafuta yamepanda bossMiezi hii usitoe zaid ya 25000 kwa laxury
Nauli ni kiasi gani kama unajua,na je usafiri wao unaanzia pale shekilango ama mbezimkuu panda ester hizi basi zinautaratibu mzuri zipo zinazoanzia kigamboni ,mbagala,chanika, so kama unatokea pande zozote za jiji ni rahisi kwa heka heka za kudamka
Luxury ipi? Hakuna Luxury pale zaidi ya jina tuMiezi hii usitoe zaid ya 25000 kwa laxury
hiyo Kidia One mdau alivyosema hapo juu ni Basi nzuri na Wana huduma nzuri nauli 25,000Nauli zao ni kiasi gani