kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,368
Hivi kweli mtu anaweza kuwa ana ishi bila kujua kama ana matatizo ya akili?
Mimi mwenzenu na shangaa saana watu wengi wananiambia kuwa awanihelewi kabisa yaani kuanzia maneno yangu mpaka vitendo vyangu na wengine Wana sema nimepungukiwa akili kabisa
Hata mimi mwenyewe kuna mda uwaga si helewi kitu
Mtu anaweza ni ambia iki kitu ni kibaya
Kama sijakifanya kitu kile siwezi kubali kabisa mpaka ni fanye alafu na mimi ule ubaya ni huone ndo na kubali
Na Kuna wakati huwa na kubali kupoteza pesa au kitu chochote ni pate kile Ninacho kitaka
Na nina bahati ya kupendwa na wanawake saana lakini kila mwanamke ninaye mtongoza ana ni kimbia wote sababu yao ni moja tu eti si heleweki kwenye mambo yangu licha ya mimi kuwa hivo nime kuwa mtu ambaye napataga maarifa mengi saana Na Nina ule moyo wa kujaribu kitu hata kama ni kigumu kiasi gani mradi tu ni ridhishe akili yangu.
Sasa kwasababu ya hivo naambiwa si heleweki Yaani mpaka kwasasa nimeanza kuwa mkimia mbele za watu au kufanya jambo lolote kwa watu ata kama nalijua nisije ambiwa sieleweki.
Sasa ndugu zangu kwasababu ya Ivo nimeanza kujihisi mpweke na nime kuwa mtu wa kulia lia sijui kama kweli akili sina au Nina akili ya namna gani na kuna wakati nimeshahanza kuhisi kichwa changu kizito saana na nisipo fanya kitu ninacho kitaka uwaga na hisi akili yangu ahiko sawa kichwani bora ni fanye ata Kama nitakosea ndo akili inatulia sasa.
Kama kuna mtu yeyote ambaye ana jua tatizo ili anihambie ili ni tafute tiba yake haraka saana.
Sorry kwa kiswahili chanza sijui kuhandika kiswahili sababu sio lugha yangu ya kwanza na sikujifunza Kiswahili shuleni bali nilijua tu mtaani labda kuna mtu ambaye ana weza kuongeya kuhusu muandiko wangu wa Kiswahili.
Mimi mwenzenu na shangaa saana watu wengi wananiambia kuwa awanihelewi kabisa yaani kuanzia maneno yangu mpaka vitendo vyangu na wengine Wana sema nimepungukiwa akili kabisa
Hata mimi mwenyewe kuna mda uwaga si helewi kitu
Mtu anaweza ni ambia iki kitu ni kibaya
Kama sijakifanya kitu kile siwezi kubali kabisa mpaka ni fanye alafu na mimi ule ubaya ni huone ndo na kubali
Na Kuna wakati huwa na kubali kupoteza pesa au kitu chochote ni pate kile Ninacho kitaka
Na nina bahati ya kupendwa na wanawake saana lakini kila mwanamke ninaye mtongoza ana ni kimbia wote sababu yao ni moja tu eti si heleweki kwenye mambo yangu licha ya mimi kuwa hivo nime kuwa mtu ambaye napataga maarifa mengi saana Na Nina ule moyo wa kujaribu kitu hata kama ni kigumu kiasi gani mradi tu ni ridhishe akili yangu.
Sasa kwasababu ya hivo naambiwa si heleweki Yaani mpaka kwasasa nimeanza kuwa mkimia mbele za watu au kufanya jambo lolote kwa watu ata kama nalijua nisije ambiwa sieleweki.
Sasa ndugu zangu kwasababu ya Ivo nimeanza kujihisi mpweke na nime kuwa mtu wa kulia lia sijui kama kweli akili sina au Nina akili ya namna gani na kuna wakati nimeshahanza kuhisi kichwa changu kizito saana na nisipo fanya kitu ninacho kitaka uwaga na hisi akili yangu ahiko sawa kichwani bora ni fanye ata Kama nitakosea ndo akili inatulia sasa.
Kama kuna mtu yeyote ambaye ana jua tatizo ili anihambie ili ni tafute tiba yake haraka saana.
Sorry kwa kiswahili chanza sijui kuhandika kiswahili sababu sio lugha yangu ya kwanza na sikujifunza Kiswahili shuleni bali nilijua tu mtaani labda kuna mtu ambaye ana weza kuongeya kuhusu muandiko wangu wa Kiswahili.