md Nickson
New Member
- Nov 5, 2021
- 3
- 9
Kuna shule ya Masister inaitwa Archangels pre and primary ipo Moshi mjini
Kuna sister pale mkuu wa shule ananyanyasa waalimu na wafanyakazi sana,maneno ya kashafa na kudhalilisha,hapeleki Mafao ya wafanyakazi NSSF .Mishahara midogo mno,na wazazi wanalipa 2milioni +.Naomba serekali ifuatilie hii shule.Mzazi.
Kuna sister pale mkuu wa shule ananyanyasa waalimu na wafanyakazi sana,maneno ya kashafa na kudhalilisha,hapeleki Mafao ya wafanyakazi NSSF .Mishahara midogo mno,na wazazi wanalipa 2milioni +.Naomba serekali ifuatilie hii shule.Mzazi.