Kuna kabiashara ka mkopo kameanzishwa na kampuni ya Vodacom, wanacharge riba pamoja na processing fee.
Swali nililojiuliza ni mbona sipati message za mgawanyo wa hayo mapato kwa serikali kama vile wanavyotutumia ukinunua voucher?
You have received an overdraft of TZS.10,107.00 You will be...
Habari za hapa bandugu, Nahitaji full set ya 6 colour screen printing machine kwa ajili ya business yangu mpya, pamoja na vifaa hivyo nitahitaji pia heat press machine for t-shirts and caps, ya mugs tayari ninayo
nitafurahi kama nitapata msaada wenu.
Simu yangu 0712000316
Wakuu wa janvi habari za kujishughulisha, ninaomba kwa anayefaham mahali nitaweza kununua DELL VOSTRO 270 Nitashukuru sana, nahitaji computer hiyo kwa ajili ya kazi zangu za ofisi coz nimeona ina specifications ninazohitaji mimi,
nawasilisha
Habari za hapa wakuu, naombeni mnielekeze sehemu hapa mjini dar nitakapopata vifaa vya Photo studio kama
Lights
Softboxes
Camera stand
Reflectors
Flashes
Tripods
Backdrops and Backdrop stand
Nitashukuru kwa msaada mtakaonipa
Habari za kazi wadau, naombeni mnifahamishe nitakapopata thin clients za ncomputing nazihitaji kwa ajili ya business yangu ndogo. Nimezichagua hizo coz naona zitakuwa less expensive and easy to manage coz sina taaluma ya computa sana
Nawasilisha
Habari za hapa wanajanvi, Jana usiku nilipita mitaa flani nikasikia wimbo unapigwa redioni, nikausikiliza kwa makini hadi mwisho sikuweza kutambua jina la wimbo ila kidogo niliweza kushika baadhi ya maneno, naomba kama kuna anayeujua huu wimbo anijulishe ameimba nani na unaitwaje.
Mashairi yako...
Wakuu naombeni mnielekeze ni wapi hapa dar nitapata used LaserJet Printer hasahasa ya HP na Photosmart ya HP nipo katika hitaji la haraka naombeni mnielekeze wapi pa kupata vitu hivi. Asanteni
Jamani wadau wa movies, naombeni mwenye kujua namna nitapata collections za movies zinazotoka china, kama vile za Alibaba nk. anijulishe manake nataka kama peaces elfu moja kwa ajili ya kuanza business pia bei yake iwe nzuri.
habari za hapa jamvini wakuu nahijaji collections tajwa hapo juu kama copy 1,000 kwa anayefanya biashara hiyo naomba ani PM nitatoa namba yangu pale ntakapopata PM yako
Bandugu kuna nafasi zilitangazwa hivi majuzi na Care international deadline ilikuwa 14 April vipi washaita? Manake kuna sred moja humu nimeona jamaa akiuliza mshahara wanaolipa Care kwa graduate.
Naombeni mnijuze
Habari za hapa ndani wakuu, naombeni msaada wenu katika hili, natafuta mashine ya kuosha magari kwa steam naombeni mwenye kujua namna nitapata anipe maelekezo. asanteni
wanajamvi naombeni mnifundishe namna ya kutumia proxy ili nipate free internet. Nimesoma post nyingi zinazohusiana na proxy nikifika katikati naambiwa trick hii haifanyi kazi. Jamani naombeni mnipe steps kwa ajili ya kupata huduma hii
Ndugu zangu wana JF naombeni kwa yeyote mwenye namba ya simu ya meneja wa mwanamuziki Dogo Aslay au ya dogo mwenyewe anipatie either kwa kuniPM au kwa sms 0755737737
nina mchongo mzuri nataka nimpe huyu dogo
Habari za hapa jamvini wakuu, nahitaji kujua ni sehemu gani hapa dar naweza kupata Outdoor LED Screen ninunue kwa ajili ya kufanya Advertising, Kama kuna mwenye ujuzi na haya mambo naomba anigawie na kama kuna mwenye kujua ni jinsi gani ntaweza pata hiyo screen naomba anifahamishe. nitafurahi...
Wakuu habari za hapa jamvini, natafuta Movies za hollywood 2011 kwa mwenye nazo naomba anijulishe nitamlipa kwa kadri tutakavyoelewana. Namba yangu za simu ni 0755 737 737
1. 5 Days of War (2011)
2. A Little Bit of Heaven (2011)
3. A Marine Story (2010)
4. Arthur...
Habari za hapa jamvini wakuu, nahitaji DvD Duplicator yenye uwezo wa kutoa 10 copies at per. Kama kuna mwenye nayo au mwenye kuweza kunielekeza zinakopatikana nitafurahi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.