Mau
Senior Member
- Apr 8, 2009
- 176
- 10
Habari za hapa wanajanvi, Jana usiku nilipita mitaa flani nikasikia wimbo unapigwa redioni, nikausikiliza kwa makini hadi mwisho sikuweza kutambua jina la wimbo ila kidogo niliweza kushika baadhi ya maneno, naomba kama kuna anayeujua huu wimbo anijulishe ameimba nani na unaitwaje.
Mashairi yako hivi
Una Nywele nyingi,
Kichwani, kifuani, makwapani, mustachi
una nywele nyingi, una nywele nyingi....
Hayo ndo baadhi ya maneno niliyoyashika, naombeni msaada wenu
Mashairi yako hivi
Una Nywele nyingi,
Kichwani, kifuani, makwapani, mustachi
una nywele nyingi, una nywele nyingi....
Hayo ndo baadhi ya maneno niliyoyashika, naombeni msaada wenu