TTCL Unlimited Download

Mau

Senior Member
Apr 8, 2009
176
10
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Unlimited downloads Packages[/FONT]

Package Name
Max. Download Speed (Kbps)
Max. Upload Speed (Kbps)
Monthly Price(TZS)
Unlimited 256
256
256
45,000.00
Unlimited 512
512
512
70,000.00
Unlimited 1M
1024
1024
110,000.00
Unlimited 2M
2048
2048
200,000.00
Wakuu katika pitapita zangu nimekutana na hizi tarrif za TTCL, hebu ambaye amezitumia atupe maelezo kidogo, zinaonesha ni Unlimited je ninaweza kuzikishea kutwa kucha nikadownload movies za kutosha? mfano nikiwa natumia Unlimited 1M

Nawasilisha
 
TTCL niliwaacha siku nyingi kwa sbb ya ukigeugeu wao. Leo watasema hivi, kesho tena vingine kabisa!
 
Unlimited downloads Packages

Package Name Max. Download Speed (Kbps) Max. Upload Speed (Kbps) Monthly Price(TZS)
Unlimited 256256 25645,000.00
Unlimited 512512 51270,000.00
Unlimited 1M1024 1024110,000.00
Unlimited 2M2048 2048200,000.00
Wakuu katika pitapita zangu nimekutana na hizi tarrif za TTCL, hebu ambaye amezitumia atupe maelezo kidogo, zinaonesha ni Unlimited je ninaweza kuzikishea kutwa kucha nikadownload movies za kutosha? mfano nikiwa natumia Unlimited 1M

Nawasilisha

Tatizo langu ni hapo kwenye hizo speed zao, nadhani ni shared, hivo utakuta speed inashuka vibaya mno 1gb ikachukua siku nzima kushuka. Weka link mkuu, maana nimejaribu kufuatilia kwenye website yao sijaona kitu kama hicho!
 
Mimi natumia Moderm ya TTCL na ni excellent ila usitumie hizo hapo juu bali nunua moderm halafu waambie waku connect na huduma ya BANJUKA ambayo ni unlimited kama ifuatavyo:

saa 12 asub-12 jioni Tshs 1000 kwa saa lakini unlimited
saa 12jioni hadi saa 3 usiku Tshs 800 kwa saa lakini unlimited
Saa 3 usiku hadi 12 asubuhi Tshs 500 kwa saa pia ni unlimited

Kwa hiyo ukiweka shs 1000 na kama kukiwa na speed nzuri unaweza ku download kitu kikubwa sana ila saa ikiisha ukiwa online basi 1000 yako itaisha. Ukimaliza download au kazi yako kabla ya saa moja unaweza kuendelea na salio lako next time.

Huwa naweka 10,000 na sio rahisi nitumie mfululizo 10hours ila raha yake ni kwamba ukiweka kwa mfano 5000Tshs unaweza kudowload hata 2Gb ya movie au clips within 2-3 hours kutegemea na speed ya mtandao wa TTCL na ukabakiwa na 2000tsh ya kufanya vitu vingine:

Tahadhari: Unapotumia Banjuka na ukasahau kuondoka online hata kama hufanyi activity yeyote huwa hela yako inaendelea kwisha hivyo ushauri wangu ni ku disconnect moderm mara tu ukimaliza shughuli zako.

I'm talking from experience na nina moderm karibu zote ila hii kwangu naona inanifaa kwani huwa nami ni downloader mzuri.
 
MIMI LAST MONTH NILIKUWA NATUMIA HIYO UNLIMITED 1M YA LAKI MOJA NA KUMI YAANI KAMA UNATAKA KUJIUNGA ACHA KABISA HIZO SPEED HAPO NI SHARED KWA MFANO UNA DOWNLOAD MOVIE SPEED NI 30Kbps huwezi hata ku stream video youtube unaweza ku save hiyo hela ukajiunga na voda BOMBA 30(NO PROMO) AMBAYO NI 30,000 KWA MWEZI ZILE 2GB ZAO ZIKIISHA UANKUWA SPEED SAWA NA YA TTCL.
 
MIMI LAST MONTH NILIKUWA NATUMIA HIYO UNLIMITED 1M YA LAKI MOJA NA KUMI YAANI KAMA UNATAKA KUJIUNGA ACHA KABISA HIZO SPEED HAPO NI SHARED KWA MFANO UNA DOWNLOAD MOVIE SPEED NI 30Kbps huwezi hata ku stream video youtube unaweza ku save hiyo hela ukajiunga na voda BOMBA 30(NO PROMO) AMBAYO NI 30,000 KWA MWEZI ZILE 2GB ZAO ZIKIISHA UANKUWA SPEED SAWA NA YA TTCL.

Hapa ndo umenena jambo mkuu kumbe hizo speed zao ni shared, kweli bora nitumia bomba 30 manake Vodacom nikishamaliza hizo 2GB zao nina uhakika wa kushuga movie moja kila siku ya 700MB kwa hiyo speed yao ndogo thanks mkuu
 
Mkuu achana nao hao,utaibiwa bure. Nina zaidi ya mwezi sasa tangu ninunue modem yao, nikawaomba waniconnect kwenye BANJUKA, lakini nilichokikuta ni wizi mtupu. Speed yake ilikuwa ndogo sana, inashindwa hata kustream video za youtube. Kiukweli nilishindwa kutimiza lengo nililokuwa nimekusudia.Ni kweli wameandika speed nzuri tu hapo, ila ukikosea ukajiunga tu ndio utagundua wizi wao ni unlimited!
 
Mi natumia broadband spidi yake ni soo na inamaliza mb balaa asbh hadi jioni mb 700 sijadownload kabisa wanatishaa
 
kama mtu una hela laki 1 kwa mwez ya net why usivute wireless yako? Sifahamu kwa dar lakini tanga i know kueka wireless kwa first time dola 300 then kila mwez dola 60 unlimited speed average 120kbps then hii unaweza share na jirani mukalipa 30 kila mtu
 
kama mtu una hela laki 1 kwa mwez ya net why usivute wireless yako? Sifahamu kwa dar lakini tanga i know kueka wireless kwa first time dola 300 then kila mwez dola 60 unlimited speed average 120kbps then hii unaweza share na jirani mukalipa 30 kila mtu

unavuta toka kwa nani?
 
kama mtu una hela laki 1 kwa mwez ya net why usivute wireless yako? Sifahamu kwa dar lakini tanga i know kueka wireless kwa first time dola 300 then kila mwez dola 60 unlimited speed average 120kbps then hii unaweza share na jirani mukalipa 30 kila mtu
Nazani anaongelea RAHA.COM ni noooomaa hawa jamaa na speed yao ya wireless internet hakuna kubabaisha nenda kwenye site yao Raha utapata data zote huko jinsi ya kujiunga. Kitu ambacho siwapendei wanatumia tuu dolazzzzi
 
kama mtu una hela laki 1 kwa mwez ya net why usivute wireless yako? Sifahamu kwa dar lakini tanga i know kueka wireless kwa first time dola 300 then kila mwez dola 60 unlimited speed average 120kbps then hii unaweza share na jirani mukalipa 30 kila mtu
Subiri kaka, bado haujaeleweka, njoo tena! Kuvuta wireless kivipi, kutoka kwa provider gani anayekupa donspeed ya 120Kbps kwa dola 60? Tujuzane wakuuu, wengine tunalipa zaidi ya laki 6 kila mwezi kwa huduma za internet pekeee!!!!!!!
 
mimi kwetu sio dar so sifahamu kama hawa provider wapo dar au vp.
Jina lao wanaitwa hotnet
wanakuekea kidishi kile kidogo kimekaa kama antena flani hivi
 
Unlimited downloads Packages

Package Name Max. Download Speed (Kbps) Max. Upload Speed (Kbps) Monthly Price(TZS)
Unlimited 256256 25645,000.00
Unlimited 512512 51270,000.00
Unlimited 1M1024 1024110,000.00
Unlimited 2M2048 2048200,000.00
Wakuu katika pitapita zangu nimekutana na hizi tarrif za TTCL, hebu ambaye amezitumia atupe maelezo kidogo, zinaonesha ni Unlimited je ninaweza kuzikishea kutwa kucha nikadownload movies za kutosha? mfano nikiwa natumia Unlimited 1M

Nawasilisha

NEW TARIFF IN TTCL BROADBAND

Napenda kuwafahamisha kua TTCL imefanya marekebisho ya huduma zake za broadband zisizo na kikomo (unlimited packages) katika maeneo yaliyotajwa hapo chini. Promotion hii inajulikana kama NDUKI PROMOTION. Katika promotion hii neno NDUKI limetumika ili kumaanisha kitu chenye KASI kubwa kuliko vingine, kwa mfano mchezaji wa mpira wa miguu akipiga shuti lenye kasi kubwa inajulikana kwa lugha ya kimpira kua amepiga NDUKI kubwa, mwanariadha akikimbia kwa kasi kubwa pia inajulikana kama mkimbiaji huyo hua anatoka NDUKI.

Faida za NDUKI BROADBAND:

Miongoni mwa faida za NDUKI BROADBAND ni kama ifuatavyo:


  • Kumekua na ongezeko la kasi (speed)
  • Kumekua na punguzo kubwa labei (kwa mwezi)
  • Mfumo wa kulipia umebadlika kutoka mwezi kwa mwezi (kalenda month) kua siku 30 toka mteja aongeze salio.
  • Mteja anapata connection kwa siku thelathini (30) toka siku aliyoongeza salio.


Vifurushi:

Huduma hii imegawanywa katika vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji na ladha (demand and taste) ya wateja wetu kama ifuatavyo:


  1. 256 kbps – NDUKI Bronze (30,000/-)
  2. 512 kbps – NDUKI Silver (60,000/-)
  3. 1Mbps – NDUKI Gold (100,000/-)
  4. 2Mbps – NDUKI Diamond (200,000 )

Lengo la internet isiyo na kikomo

  1. Kumwezesha mteja kutumia internet yake kwa siku thelathini (30) bila kukatika
  2. Kumwongezea mteja hali ya kutumia na kuridhika
  3. Kuongeza kasi ya internet
  4. Kuwavuta wateja wengi wadowadogo na wa majumbani


Faida kwa wateja


  1. Intaneti ya bei nafuu kuliko zote Tanzania. Vifurushi vya gharama ya chini kwa mwezi mzima.


  1. Wigo mpana zaidi wa uchaguzi wa vifurushi vya mwezi (siku 30) kulingana na mahitaji ya mteja
  2. Huduma ya Intaneti yenye ubora na ufanisi wa hali ya juu
    1. Kasi ya ajabu
    2. Intaneti ya uhakika
    3. Kupakua (download) taarifa kwa muda mfupi


  1. Intaneti isiyo na kipimo cha matumizi kwa bei ile ile kwa mwezi mzima (siku 30)


  1. Waweza kuongeza muda wa matumizi ya siku 30 wakati wowote.


  1. Husaidia kupanga bajeti ya matumizi ya intaneti kwa mwezi.


Vipengere muhimu kwa mteja:


  1. NDUKI BROADBAND haina KIKOMO CHA MATUMIZI.
  2. NDUKI BROADBAND ina KASI KUBWA kuliko internet zote nchini
  3. BEI ya NDUKI BROADBAND kwa mwezi imepunguzwa
NDUKI BROADBAND ndio internet yenye UHAKIKA wa kumwacha mteja akiwa ameungainishwa kwa mwezi mzima (siku 30).
 
NEW TARIFF IN TTCL BROADBAND

Napenda kuwafahamisha kua TTCL imefanya marekebisho ya huduma zake za broadband zisizo na kikomo (unlimited packages) katika maeneo yaliyotajwa hapo chini. Promotion hii inajulikana kama NDUKI PROMOTION. Katika promotion hii neno NDUKI limetumika ili kumaanisha kitu chenye KASI kubwa kuliko vingine, kwa mfano mchezaji wa mpira wa miguu akipiga shuti lenye kasi kubwa inajulikana kwa lugha ya kimpira kua amepiga NDUKI kubwa, mwanariadha akikimbia kwa kasi kubwa pia inajulikana kama mkimbiaji huyo hua anatoka NDUKI.

Faida za NDUKI BROADBAND:

Miongoni mwa faida za NDUKI BROADBAND ni kama ifuatavyo:


  • Kumekua na ongezeko la kasi (speed)
  • Kumekua na punguzo kubwa labei (kwa mwezi)
  • Mfumo wa kulipia umebadlika kutoka mwezi kwa mwezi (kalenda month) kua siku 30 toka mteja aongeze salio.
  • Mteja anapata connection kwa siku thelathini (30) toka siku aliyoongeza salio.


Vifurushi:

Huduma hii imegawanywa katika vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji na ladha (demand and taste) ya wateja wetu kama ifuatavyo:


  1. 256 kbps – NDUKI Bronze (30,000/-)
  2. 512 kbps – NDUKI Silver (60,000/-)
  3. 1Mbps – NDUKI Gold (100,000/-)
  4. 2Mbps – NDUKI Diamond (200,000 )

Lengo la internet isiyo na kikomo

  1. Kumwezesha mteja kutumia internet yake kwa siku thelathini (30) bila kukatika
  2. Kumwongezea mteja hali ya kutumia na kuridhika
  3. Kuongeza kasi ya internet
  4. Kuwavuta wateja wengi wadowadogo na wa majumbani


Faida kwa wateja


  1. Intaneti ya bei nafuu kuliko zote Tanzania. Vifurushi vya gharama ya chini kwa mwezi mzima.


  1. Wigo mpana zaidi wa uchaguzi wa vifurushi vya mwezi (siku 30) kulingana na mahitaji ya mteja
  2. Huduma ya Intaneti yenye ubora na ufanisi wa hali ya juu
    1. Kasi ya ajabu
    2. Intaneti ya uhakika
    3. Kupakua (download) taarifa kwa muda mfupi


  1. Intaneti isiyo na kipimo cha matumizi kwa bei ile ile kwa mwezi mzima (siku 30)


  1. Waweza kuongeza muda wa matumizi ya siku 30 wakati wowote.


  1. Husaidia kupanga bajeti ya matumizi ya intaneti kwa mwezi.


Vipengere muhimu kwa mteja:


  1. NDUKI BROADBAND haina KIKOMO CHA MATUMIZI.
  2. NDUKI BROADBAND ina KASI KUBWA kuliko internet zote nchini
  3. BEI ya NDUKI BROADBAND kwa mwezi imepunguzwa
NDUKI BROADBAND ndio internet yenye UHAKIKA wa kumwacha mteja akiwa ameungainishwa kwa mwezi mzima (siku 30).

Mimi modem yangu iliyokuwa imeunganishwa na BANJUKA hata sikumbuki nimeiweka wapi.
Nadhani ungetuambia namna gani mtu anaweza ku activate. Kwa mfano kwa wale tuliokuwa kwenye promo ya BANJUKA tutaweza vipi kujiunga na hiyo NDUKI. Jitahidi siku nyingine usituwekee hapa taarifa nusu nusu.
 
Back
Top Bottom