Search results

  1. K

    Naibu Waziri January Makamba anatembelea Bajaj

    ivi ukipiga picha ufukwenu kwenu ni pwani tubadilike watz...let back to resposibilities
  2. K

    Ngeleja achafua hali ya hewa bungeni

    hey Jf members! Kutukana sio uelewa mweleweshe aelewe! kwenye jamii wapo wa2 walio nafikra za namna hiyo! Zingatia elimu na ndio maana ikawepo jamii forum! Wakati mwingine tuache hisia za bungeni! Hasa hili letu la tanzania!
  3. K

    katiba mpya!!

    nahitaji kujua na kuisoma katiba ya zamani katika version zote mbili ya kiswahili na ya kiingereza!!!
  4. K

    Mkanganyiko katika Gharama za Vocha za Simu

    jamani huu ni uhujumu uchumi kwa kiasi kikubwa haiwezekani serikali iseme watanzania tulipe kodi kuendeleza taifa letu kisha hawa wenye kushika au kumiliki haya makampuni kutolipa kodi kabisa nasema hivi kwa sababu wao kupandisha bei ya vocha ni wizi maana hizi 100tsh tunazotozwa zinatozwa kodi...
  5. K

    Second HD Installation Problem.....

    kwanza kabisa hakikisha hdd yako inayoweka ni jumper yake ipo kwenye sehemu ya slave au ikiwezekana itoe kabisa ndipo uiweke na pia uhakikishe kuwa data cable zote na power ya kwenye hdd imeikonect kama ile iliyo kama master pia hakikisha hiyo iliyo na os jumper yake ipo kwenye master.
  6. K

    Nimridhisheje?

    wewe ndio unakosea na inaonekana wewe hujikamilisha kisha kumwekea ahadi ya kuru tena ili hali unampa mgongo na hii inakuwa yeye amekuandaa ukufika juu kisha unasahau wajibu wako kumfikisha yeye matokeo yake unajifanya kuwa upo kwenye hedhi ni uongo jaribu kutawala uwanja na hali ikiwa hivyo...
  7. K

    Happyness Magesse anaulizwa Kiswahili anajibu Kiingereza

    uelewa mdogo wa sisi wabongo hasa kama umekuwa maarufu ktk nchi yetu bila kuvunja mayai kwa kukuuliza kama 'unajua' amesoma kama 'u know' Na siye yeye mwenyewe na baadhi ya maprofessor wetu unamuuliza swali ambalo ni jepesi hujifanya kutoa vipengele vingi vinavyohusiana na swali ulilomuuliza...
  8. K

    Ze Utamu blogger under arrest?

    kweli anastahili adhabu tena kubwa sana ikiwa ni pamoja na kumuomba mheshimiwa JK samahani na watanzania kwa ujumla ikiwezakana ikiwa ni pamoja na kifungo atobolewe na macho kabisa.hata kama ni mtoto wa kigogo tena hao ndio wanaharibu baadhi ya viongozi waadilifu ktk nchi kwa chuki za wazazi wao...
  9. K

    looking for college/unv/institution

    asante mkubwa kwa ushauri huo vip hizi degree shirikishi vip kwa sisi tz zinakubalika katika sehem za kazi? asante sana kwa kwa hivyo vyuo naomba nishauri kwa hili la degree shirikishi.
  10. K

    nahitaji colle/unv/institution

    asante but mimi nimetakata chuo kinachotambulika na sio cha kitapeli tatizo sio kozi kuwa mwelewa ila asante and i prefer most degree au adv diploma
  11. K

    laptop inakataa kurepair vista

    nimejaribu kuformat vista ili nilinirudie kuinstall fresh maana mwanzo ilikuwa kwa lugha ya kichina nilifanikiwa kiasi fulani mpaka kwnye kuweka key lakini inakuwa inajirestart kila inapoanza tatizo ambalo awali halikuwepo kabisa sasa nifanyeje maana mimi nilifanya hivyo ili kubadili lugha...
  12. K

    nahitaji colle/unv/institution

    kinachota elimu ya vitendo zaid na vyeti vyake vinakubalika zaidi katika fani ya IT kwa ujumla kiwe cha mtaala wa nje ama ndani lakini kiniwezeshe kufanya kazi popote duniani bila mizengwe
  13. K

    looking for college/unv/institution

    nataka kuwa real profesional in IT katika recornized college/unv/institute katika level ya degree niweze kujiajiri hata kuwa na kampuni kwa sasa niko kwenye hii field ingawa sijaridhika na ninachokifanya ni mwajiriwa sijapata challenge ambazo zinanitisha ila nataka niwe na kitu baada ya kazi...
  14. K

    fail to install OS

    plz could u educating me which is high or low level of formating
  15. K

    fail to install OS

    thanks mkubwa cd ni kweli ni ya kukopi lakini mara ya kwanza ilikubali vip ikatae mara ya pili. kubadili settings za BIOS nilifanya bado ikataa kuanza kwenye cd
  16. K

    fail to install OS

    ok pgsoft: - IDE hdd - earlier was xp thanks mkubwa ilikataa kwa kwenye cpu yake lakini kwa mara ya kwanza ilikubali kuwa installed na niliiacha ika run kabisa niliporudisha kwenye yake ikakataa nafikiri hata ingekuwa kuna vista isingekubali hata ile mara ya kwanza.
  17. K

    upgrade my phone

    thankx i ll do it mkubwa
  18. K

    upgrade my phone

    i want to use my phone kuibrowse kama jamii foram emaill na search engine nyingine ni ni NOKIA 5310 xpressmusic v 07.01
  19. K

    fail to install OS

    i want to use my phone kuibrowse kama jamii foram emaill na search engine nyingine ni ni NOKIA 5310 xpressmusic v 07.01
  20. K

    fail to install OS

    nimejaribu kuformat HDD yangu kwa kutumia xp sp2 cd imekataa ; nilichofanya; - nilifanikiwa kwa mara ya kwanza kuweka os kwa kui 'slave' baada ya kuirudisha kwenye CPU yake ikakataa kabisa ingawa kwenye comp ya kwanza niliyotumia kwa kuiformat ilikubali. - nilirudia procdure hizo hapo...
Back
Top Bottom