MTV Awards siyo KTMA! Ukipitia hzo comments directly hata kama siyo mtz unapata pcha watz ni watu wa namna ip! i appriciate evryone's feelings, you do what you feel at the right time, at the right place, with the right amount and in the right format!
imeandikwa wapi kumtunza mwanamke ni jukumu la mwanaume? Na je, mwanaume atatunzwa na nani? Hiz ni iman potofu na ndo mana wanajiuza kwa mitazamo hasi kama hii. Nyie si ndo mnaosema haki sawa kwa wote??
kiongozi huwezi kuja na mada nzito kama hii kwa kusikia, ebu fanya utafiti wa kina na ikiwezekana uende kwa wahusika kupata taarifa kamili kuliko kupotosha watu kwa habari za kusikia!
kila jambo huanzishwa kukdh malengo fulan! thnk of long term planners and short term planners, c kwel kwamba BSc. in ....... eng. & BEng zpo sawa in terms of contents wanazofundshia au compitenc in solv'g problems within a related fields! wapo wanaoandaliwa kuwa short term problem solver na wapo...
Hapa ni kama tuna waadaa watanzania! Kama kampuni inaingiza faida kubwa kama wachangiaje wanasema ni kwanini ishindwe kulipa kodi hadi mwananchi atumike kuilipia? mwananchi huyu huyu akinunua vocha/credit faida ni ya kampuni pia akinunua simcard faida ni kampun iweje kampuni ishindwe kulipa kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.