Joel humphrey
Senior Member
- Oct 22, 2013
- 184
- 88
Gooooooal
Mods ina maana huyu jamaa hamjamuona ?. Anatuharibia jukwaa letu, bora aende jukwaa la siasa ndio wanaruhusu uongo kuriport habari kama zake
Gooooooal
Dk 45 +
Hamisi Tambwe anaifungia Simba bao la kwanza
Simba SC 1 - 0 Kagera S
Dk 45 +
Hamisi Tambwe anaifungia Simba bao la kwanza
Simba SC 1 - 0 Kagera S
Atleast
Mods ina maana huyu jamaa hamjamuona ?. Anatuharibia jukwaa letu, bora aende jukwaa la siasa ndio wanaruhusu uongo kuriport habari kama zake
half time simba 1 kagera sugar 0
Anaitwa Amis Tambwe Magoli, washabiki wa Ndala wanamuita Mapenati.
Kagera wanaruhusuje goli!?
Half time Simba 1 Kagera Sugar 0Wekundu wa msimbazi Simba leo watashuka uwanja wa taifa kuwakaribisha wakatamiwa wa kagera, Kagera Sugar, mchezo wa leo ni ''MUST WIN GAME'' kwa Simba baada ya kupoteza points kadhaa katika michezo 4 iliyopita.
Ushindi wa leo kwa Simba utawarudisha kileleni wa msima wa ligi, Simba imeongezewa nguvu zaidi baada ya wachezaji majeruhi Amis Tambwa na Nasorro Chollo kurudi uwanjani.
Mechi itaanza saa 10 kamili jioni na itakuwa live kupitia TBC1
UPDATE
Kikosi cha Simba
1. Abel dhaira
2. Nassoro chollo
3. Issa rashid ''baba ubay''
4. Hassan khatib
5. Joseph owino
6. Jonas mkude
7. Singano messi
8. Said ndelma
9. Amis tambwe
10. Amri kiemba
11. Zahoro pazzi
Anaitwa Amis Tambwe Magoli, washabiki wa Ndala wanamuita Mapenati.
Ha ha ha ... Wataisoma namba yake mgongon mwaka huu
Anaitwa Amis Tambwe Magoli, washabiki wa Ndala wanamuita Mapenati.