Nimeamini sisi wabongo tuna wivu wa kijinga sana.....
Has Diamond ever come forward kukanusha anything magazeti ya udaku yameandika? Lini umeshaona Diamond anakanusha anything because magazeti ya udaku yameandika. If he was to do that angeshinda akikanusha magazeti 24/7 because they all write hear say or make believe stories. You will have to be in his shoes to understand that life. Do you believe everything Global au udaku magazeti write? Maana hiyo habari iliandikwa na udaku na we all know hakukua na uthibitisho. Hivi have you wondered je kama all that was a lie just so the so called newspaper could sell copies or it was written by a journalist who hates Diamond kwa sababu zake binafsi? Kama huamini story nyingi za udaku why would you believe this?
Rais lazima alale Mbeya kwenye hotel yoyote because yeye ni rais na kama Mbeya hakuna hotel ya maana ya Rais kulala then it is the president's shame. So referencing the president is a poor attemp to justify your hatred. Rais alieenda kuomba kura Mbeya will have to go to Mbeya regardless of hotel standards. Diamond is a business man, it is business and he has a choice to conduct it the way he sees fit.
Sasa wewe hujampigia kura Diamond but una mention that hajashukuru waliompigia kura. I think he made it clear a few weeks ago how he felt about KTMA, please go back and read his post you will understand. Tanzanians, God!! why do we feel so entilted? Why make it look like the boy owes his life to us? If we were all this personal about the future of our country and make mafisadi and leaders accountable..believe me we would be far!
uzalendo aliukosa baada ya kuoa mganda na kuwaita dada zetu makombo...
Word...
wana chuki balaaa sijui Daimond kawakosea nini aiseeee hhhhhaaa
Nimeamini sisi wabongo tuna wivu wa kijinga sana.....
Yeah, because he has to marry to please you. Let him live his life. What a stupid excuse.
na bado mwakani ataambulia kreti la kilimanjaro beer......hatapata hata tuzo moja..aendelee na biashara ya kutangaza mimba
le mutuz kafuta ile post watu wamemchamba degree3 hujui fake account
achana nao tutapiga sie Tu,usijichoshe kuandika
kuoa mganda sawa ila hilo la kumuita x makombo, nani kamwambia wanawake wana umakombo???Yeah, because he has to marry to please you. Let him live his life. What a stupid excuse.
baada ya kuoa mganda kaita wanawake wa tz makombo, huu ni uzalendo sana na yafaa tumlipize+aisee hii ni aibu sana kwa wabongo mbele ya mataifa mengine. Hata kama ni ugomvi baina ya mashabiki wa timu mbili haijafikia hatua hiyo hata hao wanaija wenyewe watatushangaa wakisikia hii.
Mumejuaje watu wana chuki mbona nyie humsema kiba kwa mabaya. Basi hata nyie MNA chuki vile vile.