Kwanza sijawahi kuona kokote Duniani anayeratibu maandamano akiwa ughaibuni kwenye kiyoyozi halafu anataka anayeishi Busega ndo aandamane, Huyu anayeratibu maandamano mwaka 2015 alipiga kelele kumunadi huyu wa sasa mpaka ilifika hatua alimuzalilisha Mh. Lowasa kwa kudai kuwa amejisaidia...
Shida inayowakumba vijana wengi ni kuongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia na taratibu, katika kanuni na taratibu za uchaguzi msimamizi harusiwi kuhojia na chombo chochote kwa sababu kuu zifuatazo, moja kuhojiwa kwake kunaweza kumtoa kwenye concentration akashindwa kuwa makini na lolote...
Hiki no chombo kinacho hitaji weledi weledi was halo juu sana katika utendaji kazi wake, chombo hiki kina hitaji watu wenye IQ ya hali ya juu na siyo wababilaishaji
kadiri upinzani unavyokua na kuimarika haujitofautishi na ccm, hivi kwa chadema inakula matapishi yake huyu Nyarandu alisimangwa sana kuwa ni fisadi na ni jangiri lakini leo kapokewa kwa nguvu zote
CCM ni lazima ishinde kwa sababu hakuna chama mbadala chenye hadhi ya kupewa dola, Pili Ccm inabebwa na kazi nzuri anayoifanya Raisi Magufuli, Hapa raisi atakisaidia sana chama kwa kutumia mfumo wa Down ballot Effect ambapo sifa na kazi nzuri anayoifanya magufuli italibeba sana chama, Upinzami...
ukikosa weledi na hekima ya kuchuja kile unacho kinukuu kutoka kwa kiongozi wako wa chama unaweza ukawa mwendawazimu, Raisi fanya kazi yako vizuri, kwa weledi, na kwa umakini wa hali juu umeanza vizuri, unaendelea vizuri, utamaliza vizuri na hakika kama tiafa tumeshaanza kuona matunda yako...
Raisi anafanya jambo jema tena Mungu akulinde, ilifika hatua nchi ikakosa uelekeo kila kiongozi akawa anapokonya kilichoko mbele yake, Sumaye usisingizie siasa bali ujilaumu mwenyewe kwa kutumia uwaziri wako kupora aridhi ya wanyonge ambayo pia umeshindwa kuiendeleza,
ulikimbilia upinzani kwa...
Raisi anafanya vizuri sana, lazima ifike hatua tumuunge mkono wote kwa pamoja na panapo stahili kukosoa basi tukosoe kwa staha, hawa walio tumbuliwa huwezi jua wamefanya nini mpaka wakapasuliwa jipu lazima kuna makosa wamefanya tu, sema najua wengi wanao ponda ni kwa kuwa tu kasimamisha ajira...
kwa mataifa ya Afrika demokrsia ya kweli inapaswa iaanzie kwenye ngazi ya chama ndipo ikue mpaka ngazi ya taifa, kwa nchi zetu hizi chama kinakuwa na nguvu kuliko hata katiba ya nchi, sasa vyama vyetu hivi vinaanza kubaka Demokrsia ndani ya vyama vyao hivo wanapokuja kwenye ya taifa wanafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.