Kwa ushauri wako sheria na kununi zisifuatwe? Inakera sana hii tabia ya kupinga kila kituITV yaomba radhi!!! Huu ni woga wa viwango vya kutisha. Chombo cha habari kinafanya kazi stahiki na baadaye kinaomba radhi. Tanzania so salama tena.
Kwa ushauri wako sheria na kununi zisifuatwe? Inakera sana hii tabia ya kupinga kila kituITV yaomba radhi!!! Huu ni woga wa viwango vya kutisha. Chombo cha habari kinafanya kazi stahiki na baadaye kinaomba radhi. Tanzania so salama tena.
Kuibiwa sanduku la kura wanaona sio tatizo, ila kuhoji ndio tatizo?Hatimaye kituo cha televisheni cha ITV kupitia taarifa yake ya habari jioni hii kimeiomba radhi Tume ya Uchaguzi kwa tukio la mwandishi wao kumhoji msimamizi wa uchaguzi.
Duuu kweli sasa hv hamna mtu ana hema mbele ya utawala huu
Kuomba radhi ni uungwana kama umekoseaHatimaye kituo cha televisheni cha ITV kupitia taarifa yake ya habari jioni hii kimeiomba radhi Tume ya Uchaguzi kwa tukio la mwandishi wao kumhoji msimamizi wa uchaguzi.
Duuu kweli sasa hv hamna mtu ana hema mbele ya utawala huu
Watu wanaogopa kuaribiwa business. Unaweza ukasikia ITV imefungiwaITV ilijijengea heshima kama chombo imara cha habari kisicho yumbishwa hovyo ila sasa hv kimeyumba haswa..
ITV sasa hivi imepwaya
Imepigwa bit kidogo tu imesha nywea
Ha ha haaaa kweli sasa hv hatuna chombo huru tena cha habari
Yani cha ajabu mbowe ana miliki watu akisema twende wala hawafikiriii wanakwendra tu. Mwisho Majanga. Makonda pse mshughulikie Huyu criminal
Hilo jamaa ni linafiki kama Nape.Nakuonaga mjanja kumbe na wewe Fala tu ameripoti hali halisi wewe unasema ana mahaba na chadema...sometime bangi punguza
JF limekuwa genge LA wahuni na wahujumu. Hakuna kitu APA saiviNilikuwa nimenunua T-shirt za jamii forum ila leo nachana zote!!....Kwa nini jamii forum mnafuta kwa kasi ya mwanga thread zote zinazohusu uchaguzi wa leo???
Pombe iendelee kupanga matukio ya uhalifu bar ukinywa akili ikutume kupiga waty risasi hii pombe haitak kukosolewa au kwa kuwa inaishi kwenye chupa nyeupe inafikr hata ikianguka haotopasuka pombe ni hasaraYani cha ajabu mbowe ana miliki watu akisema twende wala hawafikiriii wanakwendra tu. Mwisho Majanga. Makonda pse mshughulikie Huyu criminal