luginyo
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,385
- 632
Naona imekutouch sanahivi kusafiri kunaliongezea nini Taifa? Tatizo akili mmeshikiwa na wwnyeviti wenu, Kikwete alishinda Angani mlilalama kama nn
ing in common?Marais ambao husafiri nje kwa nadra sana ni Magufuli,Al-Bashir,Salva Kiir,Nkurunzinza,Kim wa Korea Kaskazini.
Kama kuna mwingine ongezea
Ha ha ha, jasho litakutoka. Oh Kikwete amekula miguu ya kuku, oh sijui nini. Sasa mmebaki oh kwa nini JPM hasafiri bla bla bla. Tumeshawazoea kwa ukigeugeu wa kubadili gia angani.
Kwenye jina lako weka "ki" badala ya "chi". Mambo yatakuwa barabara.