kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,461
- 7,252
different people of different timesSo, w
So what is your point? Do Magu and Nyerere compare?
different people of different timesSo, w
So what is your point? Do Magu and Nyerere compare?
magufuri.is well.scientist and based on practical..theory...........Prof. Kitila Mkumbo "It is totally wrong to compare mwl with Maguful, mwalimu was philosophically well packed".
unaitwa kisutu brooMnalingalisha mtu na kiazi?
Ni kipi kinachomfanya Mkumbo aseme Magufuli hana falsafa?...
Falsfa ni nini?
Ni utaratibu upi aliokiuka Magufuli hadi sasa?
Kungekuwa hakuna demokrasia nchini Mkumbo angepewa nafasi kwenye TBC kubwabwaja?
Walengwa wapewe fedha mkononi!!, hivyo ndivyo ambavyo serikali ya UKAWA ingefanya!!!??.Mtu gani hana huruma? Yaani mabilioni ya kagera yote hajawapa walengwa?
Mzee Democracy ni ile ile mkuu, ila wajamaa na ma dictator wamejaribu itafsiri kwa namna yao ili nao wapate pwa kujificha kwani dunia imeenda fasta sana kuliko uwezo wao wa kiakili.Kitila nae kapitwa na wakati sana kifikra, anatetea roho yake kwa kujaribu jigeuza taratibu na kwa umakini sana watu wasimkumbushe kuwa miaka yote alijificha ktk ujamaa wa kindumilakuwili.Falsafa ya Hitler ilikuwa ni nini? Mwalimu's philosophy was Socialism and self reliance. In that philosophy, democracy had its own definition completely different from today's.
Tatizo ni kwamba wanaohubiri hili hubiri lako wengi ni pathetic liers.wanalitumia kuilinda ccm, na hii ni mojawapo ya stunts za huyo Mkumbo na ZITTO. VERY IRRESPONSIBLE .kwa mataifa ya Afrika demokrsia ya kweli inapaswa iaanzie kwenye ngazi ya chama ndipo ikue mpaka ngazi ya taifa, kwa nchi zetu hizi chama kinakuwa na nguvu kuliko hata katiba ya nchi, sasa vyama vyetu hivi vinaanza kubaka Demokrsia ndani ya vyama vyao hivo wanapokuja kwenye ya taifa wanafanya yale yale ya kwenye vyama vyao
Mwalimu hakuwa mnafiki. mathalani suala la Z'bar alilijengea hoja bila kupepesa macho na wale G55 walielewa.Mwalimu hakuwa fisadi, hakuwa muongo, hakuwa mtu wa visasi n.k. Ni makosa makubwa sana kutaka kumfananisha Magufuli na Baba wa Taifa hawana lolote linalofanana kati yao hata chembe.
Ni kweli kabisa. Nyerere hakuwa na Demokrasia wala hakupenda kushauriwa au kusahihishwa makosa.Mwalimu nae alibana demokrasia mpaka kina baba yake Masha akakimbilia marekani , Mohamed babu na mwingine nimemsahau Ilibidi wakimbie nchi.Tofauti ya JK na JPM ni kwamba wametawala karne tofauti .
Hela za rambi rambi Mkuu saidia basi kuhimizaNi kipi kinachomfanya Mkumbo aseme Magufuli hana falsafa?...
Falsfa ni nini?
Ni utaratibu upi aliokiuka Magufuli hadi sasa?
Kungekuwa hakuna demokrasia nchini Mkumbo angepewa nafasi kwenye TBC kubwabwaja?
Mwalimu nae alibana demokrasia mpaka kina baba yake Masha akakimbilia marekani , Mohamed babu na mwingine nimemsahau Ilibidi wakimbie nchi.Tofauti ya JK na JPM ni kwamba wametawala karne tofauti .
Akili huna ameongea kitaalamu sana mtu wa falsafa ni mtu mwenye vision sio zima moto kama fulani ,phylosophy and assumption ziko permanentNi kipi kinachomfanya Mkumbo aseme Magufuli hana falsafa?...
Falsfa ni nini?
Ni utaratibu upi aliokiuka Magufuli hadi sasa?
Kungekuwa hakuna demokrasia nchini Mkumbo angepewa nafasi kwenye TBC kubwabwaja?