Habari za mda huu!
Naenda moja kwa moja kwenye Mada.
Tanesco Igawilo jijini Mbeya wanataka kujenga kituo cha kupooza umeme. Kituo kikubwa kinachodhaminiwa na benki kuu.
Shirika hili limeomba kujenga kipande cha barabara ya rami kutoka barabara kuu iendayo Malawi kwa ajili ya kusafirisha...
Habari wandugu wa mda huu!
Naenda moja kwa moja kwenye mada. Nimepata mdada wa kazi anaesema yeye hali mnyama wa miguu minne yeyote yule. Kuku anakula na samaki. Ila tukipika nyama ya ng'ombe, mbuzi hagusi yupo radhi alale na njaa. Juzi kati kuna rafiki alikuja kunitembelea wakati wa chakula...
Habari wadau naomba msaada jinsi ya kuset adsense account. Nimeunganisha na you tube channel yangu nimejibiwa hivi mara mbili kila navyoconnect. Msaada tafadhali sijui nakosea wapi.
Kwa kweli ligi kwa sasa ni tamu sana hongereni club zote zanazo shiriki ligi hii matokea ya michezo ya leo ni kwamba mpira sasa umeanza kueleweka kila kona ya Tanzania.
Timu kubwa mjipange sana na mbadilike, mazoea sasa wekeni pembeni point tatu kuchukua sio rahisi kama ilivyokuwa zamani.
Kwa yeyote ambaye amewahi fanya hii biashara ya usafirishaji nyama ya nguruwe toka Moro to Dar naomba msaada wako.
Naomba kujua njia ya usafiri uliyotumia, masoko, changamoto n.k
Asante sana.
Soko la mayai ya kienyeji linahitajika haraka. Bei ya jumla kuanzia Tray 10 Chini ya hapo utauziwa leja leja. Mzigo unapitaka mara moja kwa week kama upo serious njoo pm tuongee. Mzigo wa kutosha.
Habari za mda huu wana jamvi samahani naulizia ni shule gan nzuri za primary English medium singida. Nimepata uhamisho huko na maisha kiujumla nataka kufahamu. Asanteni sana.
Kama kichwa cha habari kinavyosema eneo ni ekari tatu kamili barabara ipo viwanja vimepimwa karibu kabisa na hapo. Shamba linafaa kujenga, kupanda miti, kahawa na kilimo cha kawaida bei milion 4.5. Karibuni sana.
Habarini wana jamvi!
Naomba kujua kama kuna mtu kalipwa fao la kukosa ajira toka PSSPF, binafsi nipo Mbeya nimetoka jana kuuliza vipi lile agizo la mheshimiwa raisi wakasema niwe na subira watu wengi wameshaanza kulipwa fedha zao.
Nikaondoka kiunyonge nikaone nijiridhishe hapa kama...
Ikiwa karibu tunafunga mwezi March ni miezi mitatu sasa toka utoe tamko lako la kutaka watu walipwe cha ajabu hamna kinachoendelea ni ubabaishaji tu ni bora hata lile tamko lisingekuwepo la kusema tulipwe kumbe hamna kitu.
Tunachojibiwa huko kinatuumiza sana pesa zetu tumetafuta wenyewe...
Habari! Samahan naomba msaada kwa mwenye ujuzi wa meter ya luku nimejaribu kuweka umeme nabonyeza namba hazifanyi kazi. Msaada tafadhali nifanyaje nisilale giza.
Nimekuwa na maswali mengi kuhusu biblia pindi navyoisoma na kukosa majibu au mtu wa kumuuliza kwa wale ambao Mungu amewapa uwezo wa kutafsiri kitabu hiki kitakatifu ninaomba mtupe majibu yenu hapa.
Kwa kuanzia naomba niulize swali. Bible inasema Mungu alimuumba Adam na Hawa. Ila ukija kusoma...
Halmashauri ya jiji la Mbeya kupitia ofisi za mipango mji. Ilitangaza inauza viwanja tarehe moja Oktoba 2013 Sistila Mbeya. Malipo yalitakiwa yafanyike toka tarehe 07/10/2013 hadi 06/11/2013. Watu walifanya malipo ndani ya muda mfupi sana na viwanja vilikuwa na size tofauti ila vipo zaidi ya...
Kiwanja kinauzwa ivumwe mbeya karibu na tazama pipeline kina urefu 33m na upana 17m. Kimepemwa na kipo katika mpango mji. Barabara ipo mbele ya kiwanja, umeme na maji vipo. Bei mil 12 ukihitaji ni pm kwa maelekezo zaidi.
Samahan naomba kufahamu ofisi ya Health Insurance Management Services Organization ilipo mbeya au yeyote mwenye Contact zao maana wameita watu kwenye Interview ila hatupafahamu.
Asante sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.